Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50


Jamaa alikuwa anaitwa Dod Fayad kama sikosei
 

Christopher Scott Kyle, The most lethal sniper in American history. Died: February 2, 2013 (aged 38)
 
Patrick Lumumba ambaye aliuliwa na rais wa kipind hicho Josseph Kasavubu kwa kushirkiana na josaph Desire Mobutu(Mobutu Seseseko) pamoja na wabelgiji
 
Mkuu lakini Michael uislamu wake nadhani uliisha. Kama utakumbuka wakati yuko Bahrain alikuwa anataka Pope ambatizie watoto wake hivi kweli alikuwa bado muislamu?
 
Jim Leeves: mwimbaji wa muzik wa country alifariki kwa ajali ya ndege alifariki na miaka 45

Yule Mmarekani mweusi aliyeigiza kama lile lidudu kwenye movie za Arnold za Predator alikufa kijana baada ya kuwekewa kwa makusudi damu yenye virusi vya UKIMWI.
Racism sijui itaisha lini kwa nchi za wenzetu.
 
alikuwa bilionea flani hivi wa kiarabu "Emad El-Din Mohamed Abdel Moneim Fayed better known as Dodi Fayed was the son of Egyptian billionaire Mohamed Al-Fayed. He was the lover of Diana, ...
 
11.Ng'wanamalonde, mungu wa wanantuzu alifariki kwa kulogwa na ndiye mwasisi wa imani siyoisha ya ushitikina kanda ya ziwa.
 
Huyu kaka wa wiz khalif nini..
Hapana.

Hana undugu wowote na Wiz Khalifa.

Huyo ni OL DIRTY BASTARD (ODB).

Alikuwa ni mmoja wa wasanii wa kundi la Wu Tang.

Pata burudani hapo chini kutoka kwa ODB:-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…