iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
Chinx Drugs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dodi El Fahad
Hapo sasa. au bongo hamna maarufuduuuh hamna mbongo
Dodi El Fahad
Imran Kumbe
Alifariki kwa kupigwa risasi na watu wanao hisiwa ni majambazi
R.I.P Lucky Philip Dube
R.I.P Kalikawe Mzee wa Sote ni Ndugu!Justine Kalikawe
Alifariki June 2003 pale Ufaransa!!MARK VIVIAN FOE..CAMEROON MIDFILDER
He was above 50 at the time of his Assassination!!Imran Kumbe
Alifariki kwa kupigwa risasi na watu wanao hisiwa ni majambazi
Dodi Al Fayed!!Dodi El Fahad
R.I.P Sokoine, the best PM ever!!Yaani mpaka page ya 3 ya michango ya huu uzi hakuna aliyemkumbuka Edward Moringe Sokoine! Aliyekuwa Waziri mkuu wa Tanzania, alifariki kwa ajali ya gari akitokea Dodoma tarehe 12 April 1984. Alikuwa na miaka 46 wakati anafariki.
R.I.P MwangosiMwangosi alikuwa mwandishi wa habari wa chanell ten waulize polisi wa iringa wanajua walichomfanyia huyu kijana mzalendo.
Well said!!Vifo kadhaa hapo juu kama si vyote ni mkono wa mtu...
Wengi wao waliuawa kutokana na kukiuka masharti ya vyama vyao vya siri, harakati za kimapenzi n.k