Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Imran Kumbe
Alifariki kwa kupigwa risasi na watu wanao hisiwa ni majambazi

Kombe alikuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa ktk miaka ya 80 hadi alipostaafu. Huwezi kusema hapa alikufa kabla ya kufikisha miaka 50 kama mada inavyotaka. Hakuuawa na majambazi bali na polisi kwa kuhisiwa ni jambazi.
 
2Pac is stil alive! He is in Cuba. CIA admitted and even Obama could not deny the fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…