Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

Huyu left eye ndo alikuwepo kwenye never be the same again ........duh ...miaka 31 ameish .....toa miaka 14 ya utoto ...imebak miaka 17 ya yeye kuwa MTU mzma na kujitambua ...toa pengne miaka 5 aliumwa ..inabak miaka 12 ....ila fujo tulozfanya n kubwa kumkosea alotuumba ..........turud kwa mwenyez mung .....hapo kabla nlikuwa shabiki wa mziki ila mung alintoa huko sabb hakuna faida zaid ya kupotea ...kama nlivompenda left eye ktk Shari bas ningempenda ktk kheri lait Ingewezkana ...lakini kalamu imenyanyuliwa na wino umekauka
 
Malick el shabbaz ...'malcom x' ....(may Allah have mercy upon him ) ndugu yetu huyu mung amkubal ......alifanya juhud kubwa kipind kile licha ya elimu ya dini yke kuwa ya kawaida alisilimisha mamia ya watu ......tunamdhania ni shahid na tunamuomba Allah amkubali
 
Princess Diana alikufa mjini Paris Ufaransa kwenye tunnel (barabara ipitayo chini ya ardhi) baada ya kugonga vijiguzo vinavyokinga ukuta.
Alikuwa na boyfriend wake Mohammed "Dodi" Al Fayed, mwarabu wa Misri

Inasemekana alikuwa tayar n mjamzito na alikuwa anapanga kusilim ...so family ya yke ikamuona n bora ... Imu assasinate ili asiolewe na asizae na muislam ????
 
Mkuu Mohammed ni jina la baba yake.. Yeye alijulikana kwa majina ya Emad El-Din Mohammed Abdel Moneim Fayed au kwa jina maarufu Dodi Fayed.. Baba yake ni tajiri maarufu aliekuwa anamiliki klabu ya Fulham mpaka mwaka jana alipoiuza..

Mpaka leo anaamini kuuawa kwa mwanae ni conspiracy kati ya royal family na M16..
Huyo jamaa naye alikufa ??
Famous People Killed By The Illuminati



 
Ni dodi al fayed mwarabu nahisi ndio wenye chama la fulham FC huko uingreza
Fulham ni ya baba wa Dodi,mzee Mohammed al Fayed.Ndiye pia mmiliki wa The Harrods, Ritz hotel na biashara nyingine kibao.
 
Taasisi hiyo sio Dini.... dini ni imani isiyolazimisha mtu... by the way Dini ni Story tu za watu walioishi kitambo na hazina evidence yoyote... Wenzio wananifahamu mimi ni kiboko yenu.... na huwa nawashinda kwa hoja Daima... sababu hamfahamu asili ya dini yenu ilivyoanzishwa na inataka mfanye nini na yakitajwa almost yote ni maovu... so huwa nawawekea wazi mnaanzisha matusi... ila ukweli unabaki pale pale.. nakupa zoezi moja kawaulize waalimu wako wa dini kile kinyago cha Mwezi na Nyota kwenye kila Msikiti kinawakilisha nini? ukikosa jibu njoo nikueleze fact.. Nimeshindanishwa na Mashehe wenu waliobobea wakaishia kutukana matusi.... mimi ni kiboko yenu daima... Namtafuta Dr. Naik yule Muhindi nikimtizama kwenye TV anatoa hoja chovu... siku akija namtoa nishai
Which crack r u smoking ,??
 
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme.
Hapana gari yao haikugonga nguzo ya umeme,ilikuwa ni crush katika tunnel,angalia picha sehemu ya ajali.
wire-1245973-1504226269-79_634x964.jpg

Britain's Princess Diana died Sunday in a car crash after being pursued at high speed by paparazzi on motorcycles Her wealthy companion, Dodi Fayed, and their chauffeur also died when their Mercedes crashed in a tunnel along the Seine River at the Pont de l'Alma bridge, just north of the Eiffel Tower.
 
Back
Top Bottom