Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

PLO LUMUMBA
 
Thanks mkuu kwa maelezo mazuri but ungeweka na picha ili tuwafahamu zaidi
 
alichukuliwa na Dod Al Fayed mtoto wa tajiri Al Fayed mwenye duka kubwa la vito wingereza.
Walikuwa na asili ya kiarabu
 
daah...ni kweli, ila kwa list yangu nilichagua hao tuu
Nadhani list yako ipo viuri zaidi ukizingatia title ya uzi wako! Watu maarufu duniani!!! Kwani Aisha Madinda ni maarufu duniani au Tanzania tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…