Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PLO LUMUMBA1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.
2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.
3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana
4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.
5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.
6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.
7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.
8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.
9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.
10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Hapana, alikuwa na miaka 34 tuhakufika 50 kweli??
Hapana; huyu alifikisha miaka zaidi ya miaka 70Nduli Idd Amini???
Thanks mkuu kwa maelezo mazuri but ungeweka na picha ili tuwafahamu zaidi1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.
2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.
3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana
4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.
5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.
6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.
7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.
8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.
9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.
10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Hizi harakati za kitamboStanslaus Katabalo, alikufa akitetea ardhi ya Wamasai Loliondo isigawiwe. Sina uhakika na age lakini itakuwa early or late 30s.
Wote hawa walikuwa wapuuzi.Thomas Sankara-miaka 38
Patrice Lumumba-mika 36
alichukuliwa na Dod Al Fayed mtoto wa tajiri Al Fayed mwenye duka kubwa la vito wingereza.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Kuna-PLO LUMUMBA
Kwa nini wawe wapuuzi?Wote hawa walikuwa wapuuzi.
Nadhani list yako ipo viuri zaidi ukizingatia title ya uzi wako! Watu maarufu duniani!!! Kwani Aisha Madinda ni maarufu duniani au Tanzania tu?daah...ni kweli, ila kwa list yangu nilichagua hao tuu