Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuwe na hshima na dini za wenzetu mkuu.
jamaa alikuwa anaitwa dodi al fayed9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Ulivyotusi watu hujasoma na kuandika matusi bila sababu kisa hawajamtaja Sankara ndicho ulichokosea
Mane, memories.I like the i missed the bus oooh my sister ndo alikuwa anachizika na candy rain wa soul 4 real along side heavy d
Dodi Fayed: http://www.biography.com/people/dodi-fayed-2409779.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Hapo kwenye Red jibu lake ni Hapana ila wewe ndie utakuwa...Wewe msengerema eti!?
Hapo kwenye Red jibu lake ni Hapana ila wewe ndie utakuwa...
Kumbe Hujitambui kusemeshana na Wewe ni upuuzi... Jiheshimu uheshimiwe....
Mimi ninamatusi ya kuudhi na sikuudhi peke yako hadi Mungu wako pia ila wacha nukuache sababu hujielewi kuwa ulitoa matusi kwa waliochangia mada wote humu....kisa bwana wako Sankara hajatajwaKwanini ulini-quote .. Ubwabwa Wa shingo haujakutoka eenh!?
Lamba reli bwegede wewe
Mimi ninamatusi ya kuudhi na sikuudhi peke yako hadi Mungu wako pia ila wacha nukuache sababu hujielewi kuwa ulitoa matusi kwa waliochangia mada wote humu....kisa bwana wako Sankara hajatajwa
Kwani kikisemwa kitu cha ukweli kinawekwa sehemu isiyo na Heshima? UKWELI UMUWEKA MTU FREE wewe vipi Dogo.... kaulize wenye dini au unaweza soma mwenyewe kwa kujitafutia kifo cha Mwamedi alidanja vipi... huwezi kuta tofauti nanilivyoandika mimi.... kuwa alikula Nyama yenye Sumu... mimi ni kiboko ndio maana nafahamu yao kuliko wao wajuavyo.. ndio maana hata wewe umeshangazwa nami ila huu ni ukweli na sio kashfa wala dharau... ni hali halisi.. kwani kwenye dini kuna la kuficha? Dini sio kama baraza la mawaziri kuficha siri...Mimi nafahamu hadi asili ya wanayemuabudu hadi yale maandiko kwenye koran Allah aliyokili kuwa yeye si Mungu ukitaka nakuwekea... na Muslim wengi hawafahamu na wanaofahamu hunyamaza kimya kwa uoga...
Huna unalolijua zaidi ya uzushi kaa soma uislam frm authentic source sio kukurupuka , jiulize kwanini watu wenye elimu ya juu kabisa ya thiolojia wanasilimu ?ukitaka kusoma vitabu vinavyousema vibaya uislamu viko vingi kuliko vitabu vyovyote hiyo ni kwakuwa wanajaribu kutaka kuizima nuru ya mwenyezimu kwa mikono yao ila Allah ndo mlinzi wa dini yake
Uislamu unakua all over the world
Haikuwa mada ila mkianzisha chokochoko juu ya kiumbe bora hatuwezi kaa kimy tutawaelewsha mkitaka kuelewa haya msipotaka
Haya endeleeni we believe in Allah n is his me...nger