Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
1: Lisa Lopez(left eye)
2:Amy Winehouse
2:Amy Winehouse
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emiliano salaMchezaji wa Argentina aliepata ajali ya ndege akitokea ufaransa kuja uingereza kujiunga na tim flani
Kobe bryant alipata ajali akiwa na 41
Kwani wewe ni maarufu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijui mimi nitatoboaaa Mungu saidia ikikupendeza ....
Huyu kavunja rekodi kafa kafufukaYesu_Miaka 33
Waulize wasiulize bado atafukiwa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kibongo bongo kufa chini ya miaka hamsini ni kawaida sana. Watu wanakufa hovyo hovyo tu, kila siku misiba na maturubai kila kona. Watu wamezoea vifo mpaka mwenzao akifa hawashtuki kabisa, tena hawapati tabu ya kumwuliza daktari sababu ya kifo ni nini, wao wanafukia tu.
Mwaka gani huo mkuuAlikuwa ni people's princes hata umauti ulipomfika nilikuwa huko na jeneza lake nililishuhudia nilishtuka sana kwani alikuwa hana majivuno alikuwa anakuja na watoto wake bado wakiwa wadogo Mac Donald ya Kensington karibu na kwao, tatizo ni Prince nae akaamua kutembea na watu kadhaa kama major Hewitt aliekuwa anamfundisha kupanda farasi na Dr mmoja mpakistan na tajiri moja la mafuta mmarekani baada ya hapo ndipo akawa na Dodi mtoto wa bosi wa Fulham na aliekuwa mmiliki wa duka kubwa duniani (Harrod's) ambapo sasa limeuzwa. Kabla alisema atatangaza karibuni kitu ambacho dunia itashangaa,ndipo wakammaliza na Dodi pia
Labdaa kitaa changu na circle yangu auKwani wewe ni maarufu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
August 1997Mwaka gani huo mkuu
Dodi, baba yake alikuwa mmliki wa timu ya FulhamHuyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Noma hapa mwisho10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Banza StoneMtoto wa Dandu
Eddy Shaggy
Salim Abdallah Yazid
Motie Reginald
Steven Kanumba
Natina( Aliimba na Kurupt wimbo- Its over)
Hamis Amigolas( sina hakika kama alifikisha 50yrs mwaka huu)