Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Nchi ina ardhi yenye rutuba?
Rasilimali watu?
wasomi?
Zao la arizeti linakubali?
Mawese yanakubali?
Nazi zinakubali?
Karanga zinakubali?
Ufuta nao unakubali?
Haya n mafuta ya mimea bas kama hayo tumeshindwa yako wap mafuta ya samaki,wanyama nk
Ukiacha hilo kwene sukar ivo ivo.
Hii nchi nayo, basi hata tuigilizie wenzetu
Rasilimali watu?
wasomi?
Zao la arizeti linakubali?
Mawese yanakubali?
Nazi zinakubali?
Karanga zinakubali?
Ufuta nao unakubali?
Haya n mafuta ya mimea bas kama hayo tumeshindwa yako wap mafuta ya samaki,wanyama nk
Ukiacha hilo kwene sukar ivo ivo.
Hii nchi nayo, basi hata tuigilizie wenzetu