Sure Kuna yule Dina mariooo yeye alienda kupotea kabisa huko efuemuSidhani kama watangazaji wazuri pekee ndo wanaifanya Clouds iwe hapo ilipo bali management pia.
Kuna watangazaji waliondoka Clouds wakiwa kwenye ubora wao lakini wameshindwa kuvisaidia vituo walivyohamia ili vishindane na Clouds.
Hapa umezidisha chumvi aiseeeClouds mtaendelea kutapatapa sana na ujio wa Wasafi media km WCB label inavoteseka na ujio wa konde music.... yote kwa yote mond lazima aibuke mshind kwa vile ana wakina innocent dependent na Hance Mtanashati (blood [diehard] fans) wengi kuliko yeyote hapo wanaojua kutoa sapoti kwa kila kitu hata cha kijinga.! kwa lugha nyingine tunasema ni nguvu ya umma
kwa mond, label yake, social networks pamoja na media house, hata uwajumlishe blood fans wa clouds+konde+alikiba na rockstar kiujumla+mavoko+(kifesi, mwarabu, zari, hamisa, qboy)+mange ni < < < (less, less, less than) mond na blood fans wake
Jobless wew.Kenge blue wewe
Sure Ariff..CMG ni wabunifu sana pia presenters wao wana'chemistry tofauti na Radio zingine.Clouds kuna quality+chemistry+creativeness ndani yake..
Kitenge kaenda kuanzisha kipindi cha sports ambacho ni clone ya kile cha EFM..this shows how we are poor in creating new things
All in all Mimi nafurahi kuona vijana Kama kondeboy diamond rayvany mboso muziki unawalipa.tofaut na Hawa wengine wanataka kuwa famous Kama Jay Moe au Mr Nice halafu mfukon hawana kitu......MUZIK NI kupata show na kujaza ukumbi eneoSure Ariff..CMG ni wabunifu sana pia presenters wao wana'chemistry tofauti na Radio zingine.
ubora wa clouds upo ktk radio station na mambo mengine yanayohusu jamii, sio ktk TV station. hivyo huifanya clouds kuwa mbali sana ukilinganisha na hao wengine wa kizazi kipya.Ivi clouds bado wapo, wanapatikana kingamuzi gani?
JF kuna watu mnadharau [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaone haka kajobless[emoji16][emoji16]
Muwe mnasema kweli nguvu ya Clouds imepungua sana , kipindi cha JK ilipewa upendeleo mkubwa utafikiri ndio Radio ya taifa , lakini sasa mambo yamekuwa tofautiSure Ariff..CMG ni wabunifu sana pia presenters wao wana'chemistry tofauti na Radio zingine.
Wafrika bhana. Mtu akiwa na kikazi na akishika vihela na kununua kagari IST naye anaanza kejeli na mitusi kwa wengine utafikiri yeye ndiyo anafanya kazi na wengine hawafanyi. Kwa akili za muafrika haitatokea kushika namba moja duniani kwa utajiri. Billgate pamoja na kuwa tajiri namba moja duniani lakini alikula wali na maharagwe na watoto yatima. Ungekuwa wewe ungeweza? si ungekuwa unawatemea watu mate usoni kama tu humu unaanza kuwakejeli watu.Jobless wew.
PUMBAVU NA UTUKOME WASAFI FM,TV NA WCB KWA UJUMLA TENA KWA HERUFI KUBWA EBOOOOOOH, unakuwa mbumbu tu kama wala bangi wenzako hakuna na hakutotokea kama WASAFI FESTIVAL na kama DIAMOND, GO AND SLEEP PUMBAVUUUUUUUHey pals, najua mko poa.
Nimekuwa nikishuhudia kelele nyingi za vijana wasio na kazi (jobless) wakidang'anyana na kutiana moyo kuwa eti Wasafi imekuja kuipoteza Clouds[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]. Hiki ni moja ya kichekesho kuwahi kutokea.
Kipindi EFM imekuja hizi kelele zilikuwepo nyingi za kutosha lakini majibu watu wameshayapata. Na hao watangazaji walioko hapo Wasafi ndio walikuwa huko EFM. Kama kweli hao presenters ni wakali kihivyo walishindwa nini kuipoteza Clouds[emoji16][emoji16][emoji16]. Eti oooh Kitenge ni hatari wakina Shaffih wakasome.
Achana na hao sijui akina vitenge sijui Edo Kunembe, kuna wale akina Jonijoo utangazaji na swagga zote wamejifunza kwa akina Mchomvu. Na kila mtangazaji unayemuona nchi hii ujue role model wake yupo pale Clouds.
Sioni mpinzani wa Clouds kwa miaka ya hivi karibuni ila Clouds watapata watu wa kuwaongezea ubunifu tu,
Na kuhusu Wasafi Festival kuwa mpinzani wa Tigo Fiesta, najua watu mshaona kuwa Wasafi hawawezi ule muziki,wewe kuwa na wasanii wako wanao hit ila Clouds wao hata wakiwachukua wasanii wa singeli tu lazima uwanja wajaze[emoji16][emoji16][emoji16]
Jimmy-The-Inimitable.
sio kipindi cha JK tu hata kipindi hiki awamu ya 5 mkuu wa mkoa tu ndio apatani na clouds lakini wengi wao clouds hawana shida nayo. Rais tu anaangalia 360 ya clouds na simu anapiga anawasalimia.Muwe mnasema kweli nguvu ya Clouds imepungua sana , kipindi cha JK ilipewa upendeleo mkubwa utafikiri ndio Radio ya taifa , lakini sasa mambo yamekuwa tofauti