Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,518
- 10,839
"Pray for Palestine" "Pray for Ukraine" "Pray for Congo" "Pray for Kariakoo"
Hizi zimekuwa nyimbo kila mahali utakapopita mtandaoni imekuwa ni kawaida ya wanaoamini kuna Mungu wakijifariji kwa kuandika maneno au kuomba wakiamini kuna mtu wa ajabu yupo mahali anasikiliza maombi yao na kuna maajabu yatatokea.
Hii ni mifano mizuri kuwa wanaoomba Mungu wanapoteza muda na nguvu zao kwenye kitu ambacho hakipo, hakijawahi kuwepo na hakitawahi kuwepo kamwe.
Tangu watu wameanza kuomba hiyo Miungu isiyokuwa na ushahidi wa kuwepo zaidi ya hadithi za Abunuwasi, Dunia hii siyo magonjwa, njaa, vita, wala mabalaa yamewahi kuisha. Kama hiyo Miungu ingekuwepo kusingekuwa na haya yote in the first place.
Watu wanaoomba wanaamini wakifanya hivyo wanaweza kuushawishi ulimwengu kuwa upande wao. Wanadhani wao kuwa karibu na Mungu (their imaginary friend) wanakuwa watu wakipekee sana hivyo wanastahili kuwa first priority kwa kila wanachokiomba. Ndiyo maana wengine wanalia, wanafunga na kuomba ili tu wasikilizwe wao kwanza badala ya wengine.
"God's plan" "God's plan for me" hivi huyo Mungu kama tayari ana mpango na wewe kwanini sasa inabidi umuombe tena, yeye si atimize kulingana na mpango alionao juu yako?
Kuna Miungu zaidi ya 3,000 lakini kila mtu anaamini wa kwake ndiyo wa kweli. 😂
Hizi zimekuwa nyimbo kila mahali utakapopita mtandaoni imekuwa ni kawaida ya wanaoamini kuna Mungu wakijifariji kwa kuandika maneno au kuomba wakiamini kuna mtu wa ajabu yupo mahali anasikiliza maombi yao na kuna maajabu yatatokea.
Hii ni mifano mizuri kuwa wanaoomba Mungu wanapoteza muda na nguvu zao kwenye kitu ambacho hakipo, hakijawahi kuwepo na hakitawahi kuwepo kamwe.
Tangu watu wameanza kuomba hiyo Miungu isiyokuwa na ushahidi wa kuwepo zaidi ya hadithi za Abunuwasi, Dunia hii siyo magonjwa, njaa, vita, wala mabalaa yamewahi kuisha. Kama hiyo Miungu ingekuwepo kusingekuwa na haya yote in the first place.
Watu wanaoomba wanaamini wakifanya hivyo wanaweza kuushawishi ulimwengu kuwa upande wao. Wanadhani wao kuwa karibu na Mungu (their imaginary friend) wanakuwa watu wakipekee sana hivyo wanastahili kuwa first priority kwa kila wanachokiomba. Ndiyo maana wengine wanalia, wanafunga na kuomba ili tu wasikilizwe wao kwanza badala ya wengine.
"God's plan" "God's plan for me" hivi huyo Mungu kama tayari ana mpango na wewe kwanini sasa inabidi umuombe tena, yeye si atimize kulingana na mpango alionao juu yako?
Kuna Miungu zaidi ya 3,000 lakini kila mtu anaamini wa kwake ndiyo wa kweli. 😂