Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

Nashukuru sana kaka Jambazi ,nadhani ujambazi wako ni wa kalamu sio nguvu ndio maana michango yako humu inavutia
 
I'm humbled u know
 
Jamaa kwa fix uko juu kuliko K 4 LIFE.
 

I'm humbly humbled!
 
M humbled u know.,Ila hao watajwa huwa wana majibu yao flani.hata ba chanja km kaniudhi,nakuta hasira zinatoweka.......
 
Galadudu nimemaanisha kuwa mahali penye mbege au kama tar 28 utakuepo.....haha.iv shetani anapitiaga watu ehh?nafwaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…