Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

GENTAMYCINE . Galadudu , Kaboom , UncleBen , Nyani Ngabu , miss chaga , Nifah , Preta , lara 1 my fav , Copenhagen , mshana jr Watajwa hapo juu ni baadhi tu,ia
huwa wana majibu
yaonyaliyotukuka, hunisaidia sana
katika swala la kuhimili hasira
(anger management).... Ht
nikinuna dar mpaka Lusaka,huwa nafurahishwa na comments za
humu ndani.
Naomba kuwasilisha. Report Like Reply

mtzmweusi - Today at 4:54 AM

Yani mi sipo lol hata mwekundu
The Boss etc Report Like Reply

kanali mstaafu - Today at 5:07 AM Mi nampendaga Nifah Report Like Reply

Patience123 - Today at 5:09 AM

Mimi nikikutana na majibu ya Evelyn Salt, UncleBen na msem basi siku yangu huwa njema.
Nashukuru sana kaka Jambazi ,nadhani ujambazi wako ni wa kalamu sio nguvu ndio maana michango yako humu inavutia
 
Husika na kichwa cha habarini hapo juu.

Nikiwa memba wa JF tangu 2012 lakini kwasababu zisizoelezeka nikapoteza nywila ya kitambulisho changu cha awali,ikabidi tena nijisajili mwaka 2015, sasa basi kuna wanajamii ya humu natamani sana kuwaona wakizungumza tu ili nifurahi.

GENTAMYCINE.
Galadudu,
Kaboom,
Uncle Ben,
Nyani Ngabu,
misschaga,
Nifah,
Preta,
lara 1 my fav ,
Copenhagen,
mshana jr

Watajwa hapo juu ni baadhi tu, huwa wana majibu yaliyotukuka, hunisaidia sana katika swala la kuhimili hasira (anger management).Hata nikinuna Dar mpaka Lusaka,huwa nafurahishwa na comments za humu ndani.

Naomba kuwasilisha.

[emoji8] [emoji120]
I'm humbled u know
 
Akhsante Mkuu Kwa Kuonyesha Nia Kuwa Unatamani Unifahamu au Unijue Kwani Nilikuwa Sijajua Kama Nina Umuhimu Huo Kwako au Kwa Wengine. Karibu Sana Kwangu Mkoani GISENYI Nchini Rwanda Uje Kunywa Maziwa Na Asali. Nisalimie Mno Huko Kwenu Tanzania Na Sijui Ni Lini Nitakuja Tena Baada Ya Kutoka Huko Miaka 11 Iliyopita!
Jamaa kwa fix uko juu kuliko K 4 LIFE.
 
Husika na kichwa cha habarini hapo juu.

Nikiwa memba wa JF tangu 2012 lakini kwasababu zisizoelezeka nikapoteza nywila ya kitambulisho changu cha awali,ikabidi tena nijisajili mwaka 2015, sasa basi kuna wanajamii ya humu natamani sana kuwaona wakizungumza tu ili nifurahi.

GENTAMYCINE.
Galadudu,
Kaboom,
Uncle Ben,
Nyani Ngabu,
misschaga,
Nifah,
Preta,
lara 1 my fav ,
Copenhagen,
mshana jr

Watajwa hapo juu ni baadhi tu, huwa wana majibu yaliyotukuka, hunisaidia sana katika swala la kuhimili hasira (anger management).Hata nikinuna Dar mpaka Lusaka,huwa nafurahishwa na comments za humu ndani.

Naomba kuwasilisha.

[emoji8] [emoji120]

I'm humbly humbled!
 
M humbled u know.,Ila hao watajwa huwa wana majibu yao flani.hata ba chanja km kaniudhi,nakuta hasira zinatoweka.......
 
Galadudu nimemaanisha kuwa mahali penye mbege au kama tar 28 utakuepo.....haha.iv shetani anapitiaga watu ehh?nafwaa...
 
Back
Top Bottom