Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

Watu ninaotamani kuwaona na kuwafahamu japo kidogo tu

Nyani Ngabu
Kaboom
Nifah
UncleBen
Lara 1
Paulo Sergio de Souz
Heaven Sent
Hawa watu hufanya siku yangu iende poa.
Aiseee Nahrene nashukuru sana ,sina namna ya kuelezea furaha yangu ,niliambiwa na bibi yangu marehemu the least i can do is to put a smile on someone's face
Asante sana
 
Evelyn salt
Nifah (old fav)
GENTAMYCINE (New fav)

Hawa watu huwa nazitafuta post zao kwa nguvu zote! Ila nina sababu, kwa ruhusa yao naweza nikashusha uchambuzi🙄
 
Evelyn salt
Nifah (old fav)
GENTAMYCINE (New fav)

Hawa watu huwa nazitafuta post zao kwa nguvu zote! Ila nina sababu, kwa ruhusa yao naweza nikashusha uchambuzi🙄
Nimetoa ruksa,shusha huo uchambuzi pls!
Naona mimi na kipenzi changu popoma 'tunarock' mutima wako....
😛😛😛
 
Nyani Ngabu
Kaboom
Nifah
UncleBen
Lara 1
Paulo Sergio de Souz
Heaven Sent
Hawa watu hufanya siku yangu iende poa.
Oh dear, thank you.
Nitajitahidi niendelee kung'arisha siku yako.
 
Akhsante Mkuu Kwa Kuonyesha Nia Kuwa Unatamani Unifahamu au Unijue Kwani Nilikuwa Sijajua Kama Nina Umuhimu Huo Kwako au Kwa Wengine. Karibu Sana Kwangu Mkoani GISENYI Nchini Rwanda Uje Kunywa Maziwa Na Asali. Nisalimie Mno Huko Kwenu Tanzania Na Sijui Ni Lini Nitakuja Tena Baada Ya Kutoka Huko Miaka 11 Iliyopita!
Mkuu inabidi urudi tujenge nchi yetu... Bado twakuhitaji sana.
 
Back
Top Bottom