Watu tumevurugwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu Kama Mimi ndo sielewi kabisa.me nimevurugwa eti.me Ni chizi.kwa hiyo nataka kwenda mbele ila sielewi nipite wapi afu ukitegemea life linatumaliza.elimu ya bongo miyeyusho.kwanza wame tight afu mlolongo mrefu.sometime nagundua kusoma ndo kulituchelewesha.me nisingeenda shule Sasa hivi ningekuwa Nina Mali zangu kibao hat a huko kijijini.badala yake Mimi nikajifanya nasoma sekondari na chuo halafu hamna kitu nimeambulia.sipo kwenye system in short me Sina hela na sitaki mazoea.sema Nini nimechangamka kinoma
 
hv zile 50m zikitapikwa kwa kila mtanzania, tutaambulia sh. ngapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…