Nimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?
Naipataje mnaoijua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OHoooo shauri yako bima utakata na vifaa utanunua uliza vizuri wenyeji🥲Nimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?
Nimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?
OHoooo shauri yako bima utakata na vifaa utanunua uliza vizuri wenyeji🥲
We jamaa acha kupotosha watu hakuna hospitali ya kueleweka zaidi huko vijijini unaweza kwenda na hicho kikaratasi😃😃 Kwamba hujui ipo mkuu
Yaani bima 40k wewe jamaa umetuona watoto humu JF kila mtu si angekata😃😃 Kwamba hujui ipo mkuu
Yaani bima 40k wewe jamaa umetuona watoto humu JF kila mtu si angekata
Ndugu yangu nasema haya kwa mema tu na kukuelewesha kuna watu wana hali ni mbaya na ngumu kuliko unavyofikiria tenga muda tu pita pita mitaani Mtibeli utalia nakuambiaVifaa havizidi elfu 30
Ultrasound utanunua au kulipia?
Asilimia kubwa hiyo bima ya afu 40 haina huduma za maana mkuu tena wakati mwingine hata paracetamol utaelezwa ukajinunulie hebu fatiliaMimi siongei kwa kumfurahisha yoyote naongea mambo kwa uhalisia wake.
Hiyo Bima ipo na inafanya Kazi na watu wananufaika.
Ingia Google andika CHF
Ukiipata nenda Kituo chochote cha afya kakate.
Baada ya wiki MBILI nenda katibiwe
Ndugu yangu nasema haya kwa mema tu na kukuelewesha kuna watu wana hali ni mbaya na ngumu kuliko unavyofikiria tenga muda tu pita pita mitaani Mtibeli utalia nakuambia
Asilimia kubwa hiyo bima ya afu 40 haina huduma za maana mkuu tena wakati mwingine hata paracetamol utaelezwa ukajinunulie hebu fatilia
Nakuunga mkono mkuu, sisi wengine tunafanya shughuli zetu vijiji tunaona hali halisi. Unataklmani uwasaidie lakini unajikuta huna uwezo. Kuna watu wanaishi maisha magumu sana hapa duniani.Ndugu yangu nasema haya kwa mema tu na kukuelewesha kuna watu wana hali ni mbaya na ngumu kuliko unavyofikiria tenga muda tu pita pita mitaani Mtibeli utalia nakuambia
We jamaa acha kupotosha watu hakuna hospitali ya kueleweka zaidi huko vijijini unaweza kwenda na hicho kikaratasi
Hapo uliposema tu nipo mkoa gani nishakuelewa sana mkuuUpo Mkoa gani ili Twende kwa vitendo na ushahidi?
namimi nasubiria jibu nikakateNimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?
Usijaribu kukata hiyo bima ya chf unatibiwa Zahanati ndogo tu hospital za rufaa hawazipokei! Mi shuhuda mdg wangu alilazwa na vipimo vyote kuanzia utrasound tulilipiaNimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?