Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
1. Watetezi wa Udikteta
Kumeibuka kundi kubwa la watu katika huu mtandao wakihusudu na kutamani kutawaliwa kidekteta kwa imani kwamba madikteta ndio huleta maendeleo kwa kasi. Naamini ni ujinga wa historia umewajaa vichwani mwao, hakuna mtu mwenye akili atakayefuatilia Historia ya madikteta akatamani aina ya utawala wao.
2. Watetezi wa Russia
Hawa wako kama madebe matupu, hoja zao ni dhaifu sana, conspiracy na uongo mwingi.
Sehemu kubwa wanakimbilia kujenga hoja zao kupitia Marekani au West. Kwa sasa wamejaa jukwaa la Kimataifa na wanaanzisha nyuzi kila dakika.
3. Wanaharakati dhidi ya ushoga
Sijawahi kuelewa hata hoja ya moja ya watu walio obsessed/au wanashughulishwa sana na ushoga. Sasa wamefikia mahali wanasema mashoga wauwawe tu. Siamini kama ushoga unapaswa kupewa mjadala wowote na kufanyika sehemu ya ajenda muhimu za nchi.
4. Watetezi wa ndoa za utotoni
Sijwahi kukutana na hoja ya maana hasa ya kumfanya mtu ashadadie au akubali binti yake wa miaka 14 aolewe, jambo la ajabu watetezi wakubwa wa hili ni wanaume!
5. Wenye chuki na upinzani
Nchi hii upinzani haujawahi kushika madaraka makubwa ila kuna watu wanauchukia upinzani na wanasiasa wake kana kwamba shida zote au shida yoyote ya nchi hii imetokana na uwepo.
6. Wanaopinga Katiba Mpya
Ni vigumu kuelewa kinachomfanya mtu kutokwa na povu akipinga katiba mpya kwenye hii nchi. Watakuambia ni gharama sana lakini kila mwaka wanakimbiza mwanga, watakuambia katiba mpya haileti ugali mezani lakini hata hiyo kuukuu nayo haiwaletei ugali mezani kwa sasa, ni
Kumeibuka kundi kubwa la watu katika huu mtandao wakihusudu na kutamani kutawaliwa kidekteta kwa imani kwamba madikteta ndio huleta maendeleo kwa kasi. Naamini ni ujinga wa historia umewajaa vichwani mwao, hakuna mtu mwenye akili atakayefuatilia Historia ya madikteta akatamani aina ya utawala wao.
2. Watetezi wa Russia
Hawa wako kama madebe matupu, hoja zao ni dhaifu sana, conspiracy na uongo mwingi.
Sehemu kubwa wanakimbilia kujenga hoja zao kupitia Marekani au West. Kwa sasa wamejaa jukwaa la Kimataifa na wanaanzisha nyuzi kila dakika.
3. Wanaharakati dhidi ya ushoga
Sijawahi kuelewa hata hoja ya moja ya watu walio obsessed/au wanashughulishwa sana na ushoga. Sasa wamefikia mahali wanasema mashoga wauwawe tu. Siamini kama ushoga unapaswa kupewa mjadala wowote na kufanyika sehemu ya ajenda muhimu za nchi.
4. Watetezi wa ndoa za utotoni
Sijwahi kukutana na hoja ya maana hasa ya kumfanya mtu ashadadie au akubali binti yake wa miaka 14 aolewe, jambo la ajabu watetezi wakubwa wa hili ni wanaume!
5. Wenye chuki na upinzani
Nchi hii upinzani haujawahi kushika madaraka makubwa ila kuna watu wanauchukia upinzani na wanasiasa wake kana kwamba shida zote au shida yoyote ya nchi hii imetokana na uwepo.
6. Wanaopinga Katiba Mpya
Ni vigumu kuelewa kinachomfanya mtu kutokwa na povu akipinga katiba mpya kwenye hii nchi. Watakuambia ni gharama sana lakini kila mwaka wanakimbiza mwanga, watakuambia katiba mpya haileti ugali mezani lakini hata hiyo kuukuu nayo haiwaletei ugali mezani kwa sasa, ni