Watu wa Asia Mashariki wana akili sana, tuwe nao makini

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Watu hawa wa East Asia:-
i, Wakorea
ii, Wachina
iii, Wajapan.
Wana akili sana.

Sisi waafrika weusi hatuna akili nyingi sana, tuna akili ndogo tu za kawaida za kuvukia barabara.

Ni muhimu sana kuwa makini juu yao pamoja na ufinyu wa akili tulizonazo.

Tutambue kuwa sisi na wao hatupo sawa hata kidogo hata kwenye evolution tunatofautiana hatua wao wapo hatua ya mbele yetu kuliko sisi.

Hawa watu wa east Asia wana akili sana nawafahamu wachina kiasi.

Hawa watu wana malengo yao tena makubwa tu sisi tunaishi bora liende.

Sisi waafrika weusi kwa sababu tuna akili ndogo sana ukilinganisha na wao hivyo tunakosa malengo tunaishi bora liende wao hawaishi hivi.

Sio rahisi akili ndogo kuishinda akili kubwa.
 
Afrika ina watu wana akili ila kutokana na viongozi waliokosa akili usababisha haya unayo yaona
 
Panzi ni chakula cha ndege. Acha ndege (wakorea) wafaidi panzi (watanzania).
 
Hatari kweli kweli, umeandika ukweli mtupu ila mchungu.
 
Tutaishia kutukana uku social media ila hakuna litakalo badilika sisi waafrica ni wajinga haswaa Tanzania ndio kabisaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…