Naona hii tabia inaota mizizi kila uchwao siku baada ya siku tabia ya watu wa bara kujikuta ujuaji matokea yake mnaharibu kila kitu kama Utada poa nyie ni watu wa mwanzo kuuleta huku bara yaani mmeharibu dada zetu watu wa pwani yaani sio pos hawashikiki hata kidogo sababu ni yenu.
Baada ya kuja nyie miji yetu ya imekosa utastaarabu kila kona kwanini hamkujifunza kutoka kwetu nyie watu kila sehemu ukienda ni uchafu kila kona ukiuliza nini wanakuambia mtu fulani kutoka huko bara ameyafanya hawa sasa mtu unabaki kushangaa hawa watu kwanini wanafanya hiv? Lengo la ni nini hasa?
Kila siku ni ugomvi kila kukicha aisee chanzo ni watu wa bara yaani nyie wattu kwanini mmekosa ustaarabu? Ebu acheni basi nyie watu shida nini?
Mnanikera sana!badilikeni kama huku mjini kumewashinda ebu rudini huko kwenu shamba.
Baada ya kuja nyie miji yetu ya imekosa utastaarabu kila kona kwanini hamkujifunza kutoka kwetu nyie watu kila sehemu ukienda ni uchafu kila kona ukiuliza nini wanakuambia mtu fulani kutoka huko bara ameyafanya hawa sasa mtu unabaki kushangaa hawa watu kwanini wanafanya hiv? Lengo la ni nini hasa?
Kila siku ni ugomvi kila kukicha aisee chanzo ni watu wa bara yaani nyie wattu kwanini mmekosa ustaarabu? Ebu acheni basi nyie watu shida nini?
Mnanikera sana!badilikeni kama huku mjini kumewashinda ebu rudini huko kwenu shamba.