Watu wa bara hamna ustaarabu,usiku wa manane majirani wamezunguka nyumba yangu eti wanaokota kumbikumbi

Watu wa bara hamna ustaarabu,usiku wa manane majirani wamezunguka nyumba yangu eti wanaokota kumbikumbi

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Kweli ustaarabu ulianzia pwani, yaani usiku wa manane nimelala nasikikia, nantondo lolo mayo, nikadhani ni vibaka wa kike au wachawi kumbe wanaokota kumbikumbi kuzunguka nyumba.

Ustaarabu kazi
Kidogo nitoke na manati yangu.
Sie wengine tuna madeni mengi sana ukikatizwa usingizi kuupata tena ni shughuli
 
watu wa pwani bwana,uliposikia hivyo ukaanza kukimbilia kufunua majuzuu kutafuta Allah na mudi wanasema nini ukisikia dalili za watu wanaongea nje usiku,bila shaka ulianza kutawadha na kuwasha nyudi
 
Ustaarabu (Uislam) ..wa pwani ni jina tu lakini tabia zote za aibu na chafu zimeanzia ukanda huo wa pwani.

-Kuvaa vikuku.
-Kangamoko.
-Vigodoro.
-Ushoga.
-Miziki ya kunyanyua makalio juu 😄😄😄
 
Kweli ustaarabu ulianzia pwani, yaani usiku wa manane nimelala nasikikia, nantondo lolo mayo, nikadhani ni vibaka wa kike au wachawi kumbe wanaokota kumbikumbi kuzunguka nyumba.

Ustaarabu kazi
Kidogo nitoke na manati yangu.
Sie wengine tuna madeni mengi sana ukikatizwa usingizi kuupata tena ni shughuli
Ahaaaaaaas[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji91][emoji91][emoji91][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Ujinga wake ninii? Yeye atakuwa yupo huko kijijini kwenu amelala usiku usiku ndugu zako wamekuja kutafuta mboga na hivyo wanamsumbua![emoji28] Pokea malalamiko.

Kama anaona wanamkera ahamie visiwani sasahivi dsm na pwani haina mwenyeji.
 
Kama anaona wanamkera ahamie visiwani sasahivi dsm na pwani haina mwenyeji.
Tatizo unakataaa kwenu na unampenda sana Pwani na Dar😂😂


Mwamba atakuwa yupo Shinyanga au Simiyu kwenye vichuguu vinavyotoa mchwa na kumbi kumbi
 
Back
Top Bottom