Watu wa bara mna ubaguzi na chuki za kidini

Watu wa bara mna ubaguzi na chuki za kidini

Hivi walimu walivyo na changamoto zao za kutosha na kubaki wanaweza kupata muda wa kumferisha mtoto eti kisa ni muislamu????

Msitafute pa kujificha wapeni watoto elimu kikamikifu sio kutilia mkazo madrasa pekeake alafu mtegemee wafaulu kuliko wale ambao wametumia muda mwingi kwenye elimu ya shule
 
Fuatilia achana na porojo uliza miaka ya 2010 tunasoma Nan walikuwa vinara ...kuwa na kumbukumbu utajua tu..
Unakimbilia mwaka 2010 kwasababu unajua hakuna ushahidi.
Weka hapa list ya shule silizofungiwa mwaka 2022 kwa kosa la uvujishaji wa mitihani.
 
Unakimbilia mwaka 2010 kwasababu unajua hakuna ushahidi.
Weka hapa list ya shule silizofungiwa mwaka 2022 kwa kosa la uvujishaji wa mitihani.
Unoangela shule za msingi sio haya niambia kama sio watu bara hao ndo wengi tuhesabu hapa enzi izo ilikuwa kanda ya kaskazini sasa ni kanda ya ziwa yote ni bara .
 
Mpaka leo kuna mfumo wa kutumia namba bado watu mnalalamika tu.

Ok dunia haitaki watu walalamishi muda wote wewe fanya kutafta private school mpeleke kuepusha makelele.
 
Happy ban day!

Watu wa bara mnapaswa kubadilika na kuwa na ustaarabu! Nyie watu mmekosa ustaarabu na chuki zimewajaa acheni hizo gubu zenu na nyinyi huku pwani tuwatimue?

Nimechokwa na chuki zenu za udini kila mara mnazowafanyia ndugu zetu wa pwani hamuwaruhusu kusoma shuleni zenu na nasikia mnawafelisha wanafunzi wa bara.


Bwana .siwezi kumtaja mtoto wake amefelishwa kwenye shule moja huko bara eti kisa ni muislamu na anatokea pwani tafadhalini sana watu wa bara tunajenga nyumba moja kwanini mnaubaguzi hivyo?

Watu wa bara tafadhalini acheni hizo chuki zenu na ubaguzi wenu wa ajabu ajabu na sisi tutawabagua huku kwetu pwani.

"Jamiiforum acheni double standard na ubaguzi wa dini hili ni jukwaa huru"

Cde. Mwanamzizima
Mkristo Safi.
Siku mkiwa na visogo kama sisi, na pia kuacha kunywa urojo! hamtokuja kufeli mtihani wowote. Mtakuwa mnafaulu kirahisi tu kama sisi wa Bara.
 
Mwana Mziima Umeongea maneno makubwa sana na hii ni siri nzito umeitoa .Nashukuru kwa kusema ukweli ktk suala la Elimu Wakiristo wamelivamia njuga sana hawataki waislamu wasome hata kidigo chuki zao na ubaguzi wao ziko wazi wazi ikiwa sisi watu wa bara munatubagua kisa Waislamu je Wazanzibari ndio kabisaaa.Tanzania ni bomu la saa udini upo na chuki zipo na harakati za kuwa Muislamu asisome zipo na hilo liko wazi na wakristo wanajifanya wao ni majority hapa Tanzania kumbe ni manority .Waislamu amkeni wachemi mambo ya magoma hayo hayatasaidia .
Bora umejua mchawi wenu magoma ya kumcheza mwali na ile ilmu......hayo mambo na elimu ya mzungu wapi na wapi.
 
Happy ban day!

Watu wa bara mnapaswa kubadilika na kuwa na ustaarabu! Nyie watu mmekosa ustaarabu na chuki zimewajaa acheni hizo gubu zenu na nyinyi huku pwani tuwatimue?

Nimechokwa na chuki zenu za udini kila mara mnazowafanyia ndugu zetu wa pwani hamuwaruhusu kusoma shuleni zenu na nasikia mnawafelisha wanafunzi wa bara.


Bwana .siwezi kumtaja mtoto wake amefelishwa kwenye shule moja huko bara eti kisa ni muislamu na anatokea pwani tafadhalini sana watu wa bara tunajenga nyumba moja kwanini mnaubaguzi hivyo?

Watu wa bara tafadhalini acheni hizo chuki zenu na ubaguzi wenu wa ajabu ajabu na sisi tutawabagua huku kwetu pwani.

"Jamiiforum acheni double standard na ubaguzi wa dini hili ni jukwaa huru"

Cde. Mwanamzizima
Mkristo Safi.
Watu wasio wa bara mna nini?
 
Back
Top Bottom