Watu wa Dar es Salaam hivi mnazijua radi za Kigoma?

Watu wa Dar es Salaam hivi mnazijua radi za Kigoma?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Hivi hawa wazee wa chipsi Nyingi na mayonaizi ya kutosha radi kidogo mpaka mnafungulia Uzi? Hivi hizo radi kidogo mnalala uvunguni kweli? Ndio maana wavuta bange panya road wanawakimbiza Kila siku, hivi mlishafika mji wa vidono Kigoma?

Watu wa Dar hizo flash hazina hata madhara kwa sababu huo ni mji mkubwa na Kuna vikinga radi vingi tu endeleeni kazi zenu tu.

Radi za huku Kanda ya ziwa na magharibi hasa Kigoma na Sumbawanga zinapiga vibaya mno, hiyo flash ambayo "mmeexperience" Pamoja na hizo thunderstorm ni za mtoto Kigoma hata kama amna mvua au dalili za mawingu zinapiga radi vibaya mno Pamoja na ngurumo za kutosha Lakini watu Wana survive kama hakuna kinachoendelea, shughuli zinafanyika kama kawaida yaani tunachukulia kama jambo la kawaida.

Tena huko kwa makamu wa Rais huko Buhigwe radi zinapiga mchana.

Tokeni uvunguni nendeni mkajenge taifa.
 
Hivi hawa wazee wa chipsi Nyingi na mayonaizi ya kutosha radi kidogo mpaka mnafungulia Uzi? Hivi hizo radi kidogo mnalala uvunguni kweli? Ndio maana wavuta bange panya road wanawakimbiza Kila siku, hivi mlishafika mji wa vidono Kigoma?...

Watu wa dar hizo flash hazina hata madhara kwa sababu huo ni mji mkubwa na Kuna vikinga radi vingi tu endeleeni kazi zenu tu.

Radi za huku Kanda ya ziwa na magharibi hasa kigoma na sumbawanga zinapiga vibaya mno, hiyo flash ambayo "mmeexperience" Pamoja na hizo thunderstorm ni za mtoto kigoma hata kama amna mvua au dalili za mawingu zinapiga radi vibaya mno Pamoja na ngurumo za kutosha Lakini watu Wana survive kama hakuna kinachoendelea, shughuli zinafanyika kama kawaida yaani tunachukulia kama jambo la kawaida.

Tena huko kwa makamu wa Rais huko buhigwe radi zinapiga mchana.

Tokeni uvunguni nendeni mkajenge taifa.
Wacha Ujinga wewe
Hizo ni mbwembwe tu zamitandao wote wana Mioyo ile ile
kwanini Huko Wakati wamvua unalazimishwa kuzima Simu?
Kwanini huko wakati wa mvua Unavuliwa Nguo Nyekundu !
kama hawaogopi Radi kwanini wawe makini na wakikuona Unaongea na simu Radi zikipiga wanataka kukumaliza!
 
Wacha Ujinga wewe
Hizo ni mbwembwe tu zamitandao wote wana Mioyo ile ile
kwanini Huko Wakati wamvua unalazimishwa kuzima Simu?
Kwanini huko wakati wa mvua Unavuliwa Nguo Nyekundu !
kama hawaogopi Radi kwanini wawe makini na wakikuona Unaongea na simu Radi zikipiga wanataka kukumaliza!
Ndio maana nimesema labda huko Dar ndio mlidanganyana ukivaa nguo nyekundu unapigwa radi. Maisha ya radi huku mikoani ni kitu Cha kawaida na hakuna atakae kulazimisha kufanya yote uliyoyaandika Hapo.
 
Wacha Ujinga wewe
Hizo ni mbwembwe tu zamitandao wote wana Mioyo ile ile
kwanini Huko Wakati wamvua unalazimishwa kuzima Simu?
Kwanini huko wakati wa mvua Unavuliwa Nguo Nyekundu !
kama hawaogopi Radi kwanini wawe makini na wakikuona Unaongea na simu Radi zikipiga wanataka kukumaliza!
Unaendeleaje hapo Magomeni ukijipatia chips yai mbichi na ukwaju
 
Back
Top Bottom