Watu wa Dar es Salaam mnapoenda mikoani punguzeni ushamba

Watu wa Dar es Salaam mnapoenda mikoani punguzeni ushamba

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa Dar es Salaam si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo Dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za Dar

Wanajua uhuni wote wa Dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama Dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni Tanzania.

Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine.
 
Ukiona MTU wa maisha hayo ujue huku DAR amepigika Sana na anakula mlo mmoja Kwa siku huku amepanga chumba kimoja TANDALE....Sisi wengine hapa DAR ni wazawa lkn tukienda mikoa ya watu tunakuwa wapole Sana kutokana na maisha mazuri wanayoishi
 
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa dar si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za dar wanajua uhuni wote wa dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa shubamit yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni tz


Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine
Kifupi waache ufala
 
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa dar si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za dar wanajua uhuni wote wa dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa shubamit yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni tz


Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine
Wanaume Marijali hawawezi kuwa na hizo tabia za kichoko.....wajinga tu hao
 
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa dar si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za dar wanajua uhuni wote wa dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa shubamit yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni tz


Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine
kwamba wanashangaa jamaa kapakia dumu4 za maji ananyonga baiskeli aina ya phonex anapandisha mlima kama hana akili nzuri dah 🐒
 
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa dar si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za dar wanajua uhuni wote wa dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa shubamit yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni tz


Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine
Huyo sio wa Dar ni wa huko huko Mkoani kwenu Kigoma kwaiyo ni Limbukeni
 
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa dar si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za dar wanajua uhuni wote wa dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa shubamit yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni tz


Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine
Endekea kufikiri utakumbuka mwingine
 
Back
Top Bottom