PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Upo Sahihi kabisaa aisee sikuzote MTU aliyetoka kijijini ndiye anakuwa na hizo style akirudi kwaoHuyo sio wa Dar ni wa huko huko Mkoani kwenu Kigoma kwaiyo ni Limbukeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo Sahihi kabisaa aisee sikuzote MTU aliyetoka kijijini ndiye anakuwa na hizo style akirudi kwaoHuyo sio wa Dar ni wa huko huko Mkoani kwenu Kigoma kwaiyo ni Limbukeni
🤣 🤣 🤣mpo kijijini msibani anaulizia uber.
KabisaUkiona MTU wa maisha hayo ujue huku DAR amepigika Sana na anakula mlo mmoja Kwa siku huku amepanga chumba kimoja TANDALE....Sisi wengine hapa DAR ni wazawa lkn tukienda mikoa ya watu tunakuwa wapole Sana kutokana na maisha mazuri wanayoishi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Juzi kwenye msiba mc alisema wageni kutoka Dar waende kula pamoja na wachungaji nyumba ya jirani....
Nilicheka sanaa
Mkuuu hio avatar yako ni shida🤣 🤣 🤣
Wazawa wa mjini huwa hatuna shida tukienda vijijini kwani huwa ni adventure,wanaoleta shobo nara nyingi na wale waliozaliiwa bush na kuja mjini ukubwani,hao hawachelewi kupakana kwao,Kamata mitoto yote ya Dar leta hapa mdukuzi kuja hapa ,Mwachiluwi kuja hapa ,wewe Mad Max kuja hapa ,wapi Souljah boy kuja hapa
Haya na Mimi niko hapa kugombana na Hawa wakuja maana wamelianzisha wenyewe ,Sasa naomba tujibu mashambulizi kwa ustaha
Ahahah wana hasira zao hao waacheKamata mitoto yote ya Dar leta hapa mdukuzi kuja hapa ,Mwachiluwi kuja hapa ,wewe Mad Max kuja hapa ,wapi Souljah boy kuja hapa
Haya na Mimi niko hapa kugombana na Hawa wakuja maana wamelianzisha wenyewe ,Sasa naomba tujibu mashambulizi kwa ustaha
Chenille ushamba dar siyo Tanzania kuna watu hawaijui hiyo dar yenu na wanaishi maisha mazuri sana tena sanaKamata mitoto yote ya Dar leta hapa mdukuzi kuja hapa ,Mwachiluwi kuja hapa ,wewe Mad Max kuja hapa ,wapi Souljah boy kuja hapa
Haya na Mimi niko hapa kugombana na Hawa wakuja maana wamelianzisha wenyewe ,Sasa naomba tujibu mashambulizi kwa ustaha
Haaa haaHaaa
Haaa haaa leo patachimbika hapa