Watu wa Dar es Salaam mnapoenda mikoani punguzeni ushamba

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Yes, nasema ushamba kwa sababu gani kukaa Dar es Salaam si kuwa uko mikoani hakuna watu ambao hawaijui hiyo Dar si wazawa ila kutokana na mihangaiko ya maisha wanajua chocho zote za Dar

Wanajua uhuni wote wa Dar sasa nyie mkienda uko nakuaanza aaah ona hii siyo kama Dar, mpo kijijini msibani anaulizia uber, anaulizia hivi uku hakuna night club, akiona wa mama wanaenda kuteka maji kisimani anashangaa yani wana ujinga ujinga as if hawajui hii ni Tanzania.

Ebu ongezeeeni ujinga wao mwingine.
 
Ukiona MTU wa maisha hayo ujue huku DAR amepigika Sana na anakula mlo mmoja Kwa siku huku amepanga chumba kimoja TANDALE....Sisi wengine hapa DAR ni wazawa lkn tukienda mikoa ya watu tunakuwa wapole Sana kutokana na maisha mazuri wanayoishi
 
Kifupi waache ufala
 
Wanaume Marijali hawawezi kuwa na hizo tabia za kichoko.....wajinga tu hao
 
kwamba wanashangaa jamaa kapakia dumu4 za maji ananyonga baiskeli aina ya phonex anapandisha mlima kama hana akili nzuri dah πŸ’
 
Huyo sio wa Dar ni wa huko huko Mkoani kwenu Kigoma kwaiyo ni Limbukeni
 
Endekea kufikiri utakumbuka mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…