watu wa Dar es Salaam punguzeni ujuaji muwapo mikoani, Mwanaume kuvaa hereni mikoani ni mwiko

watu wa Dar es Salaam punguzeni ujuaji muwapo mikoani, Mwanaume kuvaa hereni mikoani ni mwiko

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
DSM ni jiji kubwa sana lenye mchanganyiko wa tamaduni kibao, watu wa mataifa wengi, fani nyingi, n.k. Halai hii imewea kuruhusu kuonekana ni jambo la kawaida mwanaume kusuka, kuvaa hereni, kuvaa kipensi, n.k.

Lakini huku mikoani yakiwemo majiji madogo, hali ipo tofauti sana, tamaduni zinazozingatiwa hazivumilii wanaume kusuka, kuvaa hereni na vitu vingine vilivozoeleka kuwa ni vya wanawake
 
Ungetaja Sasa huo mkoa au Jiji dogo maana Tanga Arusha Moshi Moshi mwanza huko kote hivyo vitu huvaliwa sana
 
Back
Top Bottom