Watu wa Dar Hivi Ex Ni nani?

Watu wa Dar Hivi Ex Ni nani?

Mdigokhan

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2022
Posts
942
Reaction score
2,198
Watu dar naomba kuwauliza ivi ex ni nani..?Ni mwanaume/Mwanamke ulielala nae au uliempenda au kuishi nae Kisha mkaachana ndio mnamuita ex..?

Ex wangu fulani Kwa kigezo kipi mpaka awe EX..??

Mtusaidie watu wa mikoani mana wengi hatuelewi 🙏 Hatuna cha kuwalipa ila mkija mkoani kwenye misiba tunawaahidi mtakuwa wa kwanza Kula ili muwahi kurudi dar..
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
 
Ex ni kifupisho Cha neno la kingereza Exit
Ikimaanisha ni mtu alokamilisha hatua/jambo fulani na kuamua kujitenga/ondoka/toka kutafuta mengineyo
Kwa maana hio tukitumia neno EXIT tunaweza iweka hata pale Umenunua malay* Wa buku 5 si Utakuwa umekamilisha HATUA/JAMBO FULANI/ONDOKA so Tunaweza muita EX pia..?
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
Utajua wewe 😂
 
Kwa Dar sisi hatuna Ex na hatujawahi kuwa single wala kuwa na mtu, ni vile unavyokuja ndivyo tunavyokupokea.
😂 Wakija kwenye msiba wako tutawapa chakula haraka ili warudi dar Wakaendeleze ulipoishia mkuu..
 
Back
Top Bottom