Watu wa Dar kanusheni na hili

Hahaha Kuna watu wandhani walizaliwa ili wasaidiwe. Maisha haya nadhani kila mtu angefurahi kama angepata sehemu ya kuegemea. lakini Haipo hiyo sehemu. Ukiwa unaenda kumjulia khali ndugu au rafiki yako, ni jambo jema. lakini ukianza mizinga kila mtu atakukimbia, na ndio utasikia story hizo za kesho an busy. Kila mtu afanye sehemu yake ya uzalishaji tuache utegemezi usio kuwa WALAZIMA. Tutembeleane pale inapobidi na tuwe waelewa,Kwakuwa wewe HAUKO busy ,haina maana inakuwa hivyo kwa kila mtu.
 
dodoma saivi ni jiji ko dar tunaita mkoani now,,,,,afu dar kuna shdaaa tena saaaaaaanaaa narudia tena kuna taabu sio ndogoo ,,, kwanza jiji lenyewe tuu linakera full jam kero za majirani kwa sababu karibia dar nzma naweza sema ni uswazi sababu ya msongamano wa makazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hakuna pa kupumulia, pesa inapatikana kwa tabu pia inaisha gafla πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hasa ukiwa mtu wa viwanja ndo hutafanikiwa kabsa utaishia kula bata tuuu mwisho unakosa ata nauli ya kukutoa forty forty kwenda kwenu vingunguti spenkoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila iyo tabia ya kujisikia na kujiona wengi wanayo
asee karibun jiji la dodoma sera za serikali zpo huku,,,,, wale wa dar mnaopanga nawasalimia sana njoon tujenge dodoma kumekua ni fayaaaaaaaπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Hii ya kweli kabisa daah... Natamani kumtaja jamaa mmoja wa hapo Dar....
 
Wewe unavyofikiaga kwa shemejiako Vingunguti ukajua basi watu wote Dar wanakaa Vingunguti. Dar ndo kitovu cha uchumi hapa Tz kaka hilo jiji lenyewe la Ntyuka ni la kisiasa tuu hamna kitu.
 
Hapo alishakusoma uko mtupu, akijua kabisa uko vizuri mfukoni mbona angekutafuta mwenyewe
 
Wewe unavyofikiaga kwa shemejiako Vingunguti ukajua basi watu wote Dar wanakaa Vingunguti. Dar ndo kitovu cha uchumi hapa Tz kaka hilo jiji lenyewe la Ntyuka ni la kisiasa tuu hamna kitu.
bitter truthπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…