LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Watu wa Dar bwana!
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia
karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta..
Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza
umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe,
utasikia nipo Kibaha kuna issue
nashughulikia nitakuchek kesho....
Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo... Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utasikia
mbona fasta kaka, daah sema umekuja
wakati mbaya sana, sasa hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutakutana tu????...
Wote sound zao hizo hizo, utadhani
mwalimu wao mmoja????
Afu wao wakija huku mkoani,
anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani
mnatafuta wadhamini?
Stori zake sasa..
Hivi huku mikoani mnaishije..? Hakuna
mzunguko wa hela kabisa????..
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuwepo
si wote mngekuwa Bakhressa????...
aseeh... acheni hizi tabia,
mnatukera sana sisi wa mkoani..
Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia
karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta..
Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza
umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe,
utasikia nipo Kibaha kuna issue
nashughulikia nitakuchek kesho....
Kesho ndo hutaiona simu yake ng'oo... Ukimpigia simu kumwambia kesho naondoka, utasikia
mbona fasta kaka, daah sema umekuja
wakati mbaya sana, sasa hivi nipo taiti kiaina ila ukija tena tutakutana tu????...
Wote sound zao hizo hizo, utadhani
mwalimu wao mmoja????
Afu wao wakija huku mkoani,
anataka uwe nyuma yake 24/7, utadhani
mnatafuta wadhamini?
Stori zake sasa..
Hivi huku mikoani mnaishije..? Hakuna
mzunguko wa hela kabisa????..
Hiyo mizunguko ya hela huko Dar ingekuwepo
si wote mngekuwa Bakhressa????...
aseeh... acheni hizi tabia,
mnatukera sana sisi wa mkoani..