Na wewe bora utumie lugha moja maana ushachapia chapia... au na wewe ni wa Dar japo ni MndeleU know nilivyoanza kusoma hii thread i was like kwani nani amemkwanza mm1 leo?
U know nilivyoanza kusoma hii thread i was like kwani nani amemkwanza mm1 leo?
Haiingii Akilini unaposema umesomea shule za kikatoliki it means umekula sana minguruwe minyama haramu... so kama haupo dar basi sawa ila kama upo dar basi jua umo kwenye kumbo hilo hilo...... Kilatini na Kiingereza wapi na wapi ushawasikia Waitaliano wakiongea English ni vitimbi tupu... ni full comedian...Sisi tuliosoma seminary za kikatoliki huwa tunawamalizaga na kiingereza kinachochanganywa na kilatini.. Hapo lazima asepe tu.... Ha ha ha haaaa, ati!!! Watu wa Dar! Iko shida hapo Dar.
Mapovu ya nn brother, mie sipo Dar...... Kwani Kiswanglish kinaoana au mmeipitisha na inatambulika?Haiingii Akilini unaposema umesomea shule za kikatoliki it means umekula sana minguruwe minyama haramu... so kama haupo dar basi sawa ila kama upo dar basi jua umo kwenye kumbo hilo hilo...... Kilatini na Kiingereza wapi na wapi ushawasikia Waitaliano wakiongea English ni vitimbi tupu... ni full comedian...
U know nilivyoanza kusoma hii thread i was like kwani nani amemkwanza mm1 leo?
sasa nguruwe kala yy ww imekukera nnHaiingii Akilini unaposema umesomea shule za kikatoliki it means umekula sana minguruwe minyama haramu... so kama haupo dar basi sawa ila kama upo dar basi jua umo kwenye kumbo hilo hilo...... Kilatini na Kiingereza wapi na wapi ushawasikia Waitaliano wakiongea English ni vitimbi tupu... ni full comedian...
Vipi wewe uliyeuliza nawe umekereka? au ndio yale Pilipili ya Shamba?sasa nguruwe kala yy ww imekukera nn
me nakula nashangaa unaita haramu wkt kwangu ni halalVipi wewe uliyeuliza nawe umekereka? au ndio yale Pilipili ya Shamba?
hapo kwenye kugaya tumeilewa wachacheee.wana daslam hoiiAh juzi mi pale Catalunya kuna kamchuchu nilikashukia vocabulary kakanigaya kabisa yaani heheheheee
...Waitaliano wakiongea English ni vitimbi tupu... ni full comedian...
Unajua Vyakula Halal na Haramu wewe bora uulize na sio kusema Kwako ni Halal... Kula Kunguru basi maana ni jamii moja... Huyo Mnyama Kwanza Hachinjwi.. anauliwa tu kibudu... DiniZenu Mmesoma wapi? ndio maana kwenye Hoja za Hakuna Mungu mnaanguka sana... hamumjui hata Mungu wenu mnayemuabudu.... mwadhania anapenda wasiotaka atakacho...me nakula nashangaa unaita haramu wkt kwangu ni halal
sasa nguruwe kala yy ww imekukera nn
Waaat!aaah yani ths thread is liiiiiiiiike... hivi mtunzi uliwaza wat?am trully suprised kwa such thread.anyways ni thread amaizing ila imejaa figisufisu za kisupush
Wewe lazima utakuwa house negro lugha inakuuma kuliko malkia mwenyewe.Hulka ya kuongea kiswanglish Dar inakua kwa kasi sana,mbaya zaidi ni pale mtu anataka kubwabwaja katika suala la kitalamu zaidi.
Wadada nao ndo komesha utasikia,u know...,i was like kwamba..,yani kero tupu.Mabishoo nao ndo kabisaaa! Wanachafua lugha ya malkia.
Kama ukiamua kuchana yai chana usichangane na kibantu.
sasa kwangu ni halal ww ng'ang'ana unavyojua na kwa taarifa yako cku iz nguruwe na chinjwa cio kma zaman wana piga nyundoUnajua Vyakula Halal na Haramu wewe bora uulize na sio kusema Kwako ni Halal... Kula Kunguru basi maana ni jamii moja... Huyo Mnyama Kwanza Hachinjwi.. anauliwa tu kibudu... DiniZenu Mmesoma wapi? ndio maana kwenye Hoja za Hakuna Mungu mnaanguka sana... hamumjui hata Mungu wenu mnayemuabudu.... mwadhania anapenda wasiotaka atakacho...