Watu wa Dar na kingereza cha hapa na pale

Watu wa Dar na kingereza cha hapa na pale

Hili jibu lako limenikumbusha mbali sana.. wakati tupo chuo et ukiskia dem wako anatoka na jamaa mwingine. Washkaji wanasema yan wenzako wanapata raha huko we kinakuuuma nini sasa.. Yan wenzako wanakula starehe we unauumia huku.. haahahah halaf unaapa kabisa kwa Mungu et iyo roho ya wenzako wanaenjoy weunaumia isije na ifeeee hahha haa
Mbona unataka kulazimisha kila mtu awe kama wewe? Wewe si haramu kwako? Basi usile, na anayekula usimpigie kelele.
 
Kuna wtu hawajitambui ati!!!mada inahusu kiswanglish mshaigeuza sasa imekuwa kuhsu doza aka kitimoto nyie wafia dini mna kasumba sana hamchagui eneo la kuonyesha unazi wenu mnakera sana!!!
 
To be honestly hata me wananiboa sana, kwani usiongee lugha moja tu! Barbarism ni kero.. hope umenipata
 
Unajua Vyakula Halal na Haramu wewe bora uulize na sio kusema Kwako ni Halal... Kula Kunguru basi maana ni jamii moja... Huyo Mnyama Kwanza Hachinjwi.. anauliwa tu kibudu... DiniZenu Mmesoma wapi? ndio maana kwenye Hoja za Hakuna Mungu mnaanguka sana... hamumjui hata Mungu wenu mnayemuabudu.... mwadhania anapenda wasiotaka atakacho...
Kila mtu na imani yake juu ya huyo mdudu. Asiekula asimuhukumu alae na alae asimuhumu asiekula
 
Kila mtu na imani yake juu ya huyo mdudu. Asiekula asimuhukumu alae na alae asimuhumu asiekula
No nasema No... Kula Mdudu si Imani na haipo kwenye Imani zaidi ya Urafi tu.. Dini za Kiyahudi, Ukristo na Uislam zinakataza so ulaji wa Nguluwe hauingii katika Imani zaidi ya Urafi... wewe usiyejua Dini ukiongea ni kama uharo mtupu... bora uketi pembeni watu waelewe kama wanayofanya ni sawa au si sawa na kama si sawa waelewe wanakosea na ni kwa Matakwa yao na hawatakiwi kuwa sehemu ya Dini hizo.. walioshika Dini haswa huitwa Watakatifu na hawawezi fanya makosa mepesi kama haya... Katafute kwenye vitabu vyote vya Dini hizo sehemu inayoruhusu ulaji wa Pig zaidi ya Uislam huruhusu pale kunapokuwa na Shida ya Njaa ya kukufanya upoteze uhai... tafuta ukweli ukuweke kwenye ujenzi huru

Sio kila mtu akiambiwa ndio anahukumiwa jifunzeni kutafsiri vizuri...
 
No nasema No... Kula Mdudu si Imani na haipo kwenye Imani zaidi ya Urafi tu.. Dini za Kiyahudi, Ukristo na Uislam zinakataza so ulaji wa Nguluwe hauingii katika Imani zaidi ya Urafi... wewe usiyejua Dini ukiongea ni kama uharo mtupu... bora uketi pembeni watu waelewe kama wanayofanya ni sawa au si sawa na kama si sawa waelewe wanakosea na ni kwa Matakwa yao na hawatakiwi kuwa sehemu ya Dini hizo.. walioshika Dini haswa huitwa Watakatifu na hawawezi fanya makosa mepesi kama haya... Katafute kwenye vitabu vyote vya Dini hizo sehemu inayoruhusu ulaji wa Pig zaidi ya Uislam huruhusu pale kunapokuwa na Shida ya Njaa ya kukufanya upoteze uhai... tafuta ukweli ukuweke kwenye ujenzi huru

Sio kila mtu akiambiwa ndio anahukumiwa jifunzeni kutafsiri vizuri...
Mimi biblia yangu inaniruhusu kumla huyo mdudu. Tuko agano jipya si la kale
 
Mimi biblia yangu inaniruhusu kumla huyo mdudu. Tuko agano jipya si la kale
Na Huko Mbinguni mnapoenda ni kupya pia au ni same? na maagizo Mungu wenu kabadilisha? na Hilo Agano mliwekeana na nani weka Ushahidi wa Story za Biblia na aliyekuambia ule ni nani leo ueleweke...

Haya Mambo miaka ya kuonea Haya yashapita.. hata Pasta,Mchungaji,Paroko,Cardinal,Askofu,Papa wanatakiwa kuweka wazi kuliko kuwaingiza watu chaka mbaya... i know wakiweka wazi wengi watashindwa hata kwenda chuch na Sadaka zitakosekana... Binadamu ni Mrafi sana hayo Madudu si mazuri kabisa hadi kwa Afya... Navyoelewa kitu chochote kinachoweza dhuru mwili unatakiwa ukiache... kwa Dini yenu ni kosa...kuharibu mwili wako... iwe kutoboa masikio,pua n.k kwa mwanamke mfano wa uvaaji ni ule wa MAsister wa kikatoliki mkiambiwa hamuwezi lazima msepe church so kanisa limewaachia kijanja tu ila linajua kazi yenu ni kuwasindikiza wao mapadri na masister... nywele zenu hazitakiwi ziwe wazi sasa mkiambiwa ukweli ati oh kila mtu na imani yake... sisi tunaojijua imani huwa tunashikwa na butwaa... nakuomba uwe unabisha ili niwe nakueleza mambo ya siri za dini ila uyafanyie kazi ukienda kanisani kwenu.. ili ujiridhishe... na wakikudanganya njoo tena bisha bisha kiudadisi ukaulize kweli hadi uwe mjenzi huru wa roho na imani yako.. uenjoy life
 
Back
Top Bottom