Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,779
- 9,999
machotara wa kibongo na jamii za Asia mkuu ila kiutamaduni ni wabongo pure wachawi wachawi sana wale!Mbona wafiji wako kama wahindi na si kama wabantu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
machotara wa kibongo na jamii za Asia mkuu ila kiutamaduni ni wabongo pure wachawi wachawi sana wale!Mbona wafiji wako kama wahindi na si kama wabantu?
Kama ni hivyo basi serikali, kupitia Wizara ya Utamaduni, wafanye mpango wawarudishe hawa ndugu zetu nyumbani maana ni muda mrefu wameishi huko uhamishoni. Na lugha yao umeisikiliza vizuri? Isije ikawa wanaongea Kiswahili sanifu.Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.
Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.
Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.
Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Yuwiiiii daaaaaadeeeee!Tulongane pambele belaga!🙏😂😂😂😂nofu hela mnyalukolo haahaaaha nimecheka wewe jamaa uhudzelie whiya hu Tagamenda,Itipingi,Ilunda,mtwango,kichiwa,mawande,ikelu,kiumba,lyamkena,wangama wha mwandulami!
Vipi hali yao ya Elimu ? Kama wanapenda vigodoro na kuchezwa kuliko elimu hao ni ndugu zetu kabisa, ikiwezekana iwe ni mkoa remote wa Tanzania 😅😅Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.
Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.
Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.
Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.
Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.
Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.
Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
leke tulonge ku secreto place vanu vana miho vatulola pa welu apa!Yuwiiiii daaaaaadeeeee!Tulongane pambele belaga!🙏😂😂😂😂
Aisee 🤣🤣broo kuna makabila kama Wasakalava wa Madagascar hawa washenzi walikua canibals walikua na mitumbwi ya vibwengo yaani wanapiga kasia far distance walifika mpaka huko India na far East na wakiwakuta jamii zenu wanawapa kichapo na mnatafunwa!
hahaaahaa
Alaa, kumbe 🤣Kipindi hiko dunia ni pangea
Bela umugaya haaa!Ulikwiiya myanyabaata?leke tulonge ku secreto place vanu vana miho vatulola pa welu apa!
Kwahiyo wanaweza kuwa Wabondei,Wakwele au Wamwela.. ?Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.
Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.
Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.
Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
hapana watu wa Pasific walitoka huku kwa kusafiri na mitumbwi mdogo mdogo mpaka huko ushahidi wa kihistoria unaonesha watu wa pwani ya Azania walikua mbele kimaendeleo miji kama Rapta,kilwa na Ofiri walimiliki merikebu zilizosafiri mbali na dunia huko jamii za Asia walikopeleka dhahabu,pembe za ndovu na bidhaa mbali mbali ila ile civilization ilianguka karne chache za hapo nyuma kumbuka watu wa Azania yaani Rapta walifanya biashara mpaka na mfalme Suleimani dhahabu na bidhaa za madawa,miti na wanyama waliokua kwenye mabustani ya kale huko babylon na Jerusalem yalitoka huku nchi ya Ofiri imetajwa mpaka na Bible!Labda ungeniambia kuwa biashara ya utumwa ilichukua watu kutoka ukanda huo wa pwani , rufiji na kuwapeleka katika visiwa hivyo ningekubalinia nawe.
Wala sio kujipendekeza wao wenyew wanasema asili yao ni Taqaniika wakimaanisha TanganyikaWabongo kwa kujipendekeza tupo vizuri. Tunaojipendekeza kwao hata hawatutaki kama nchi za ukanda wa south africa.
sio kweli hapo, Zaidi ya asilimiaMbona wafiji wako kama wahindi na si kama wabantu?
Angalia tena nyingine hii hapa, kama hujawahi kuiangaliaNiliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.
Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.
Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.
Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.
Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
nofu hela mnyalukolo haahaaaha nimecheka wewe jamaa uhudzelie whiya hu Tagamenda,Itipingi,Ilunda,mtwango,kichiwa,mawande,ikelu,kiumba,lyamkena,wangama wha mwandulami!
Wabongo kwa kujipendekeza tupo vizuri. Tunaojipendekeza kwao hata hawatutaki kama nchi za ukanda wa south africa.
Ku Daslamu huno nigima mapesa ga kulimila matosani na madzebele Pakaye apo!Bela umugaya haaa!Ulikwiiya myanyabaata?
Hawaongei Kiswahili ila kurudi huku si rahisi. Fiji kuna huduma nzuri za elimu, afya, maji, umeme hata barabara. Huduma za kijamii ni bora kuliko hapa kwetu.Kama ni hivyo basi serikali, kupitia Wizara ya Utamaduni, wafanye mpango wawarudishe hawa ndugu zetu nyumbani maana ni muda mrefu wameishi huko uhamishoni. Na lugha yao umeisikiliza vizuri? Isije ikawa wanaongea Kiswahili sanifu.