Watu wa Fiji ni ndugu zetu, mila na tamaduni zetu zinafanana

Watu wa Fiji ni ndugu zetu, mila na tamaduni zetu zinafanana

Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.

Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.

Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.

Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.

Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Kama ni hivyo basi serikali, kupitia Wizara ya Utamaduni, wafanye mpango wawarudishe hawa ndugu zetu nyumbani maana ni muda mrefu wameishi huko uhamishoni. Na lugha yao umeisikiliza vizuri? Isije ikawa wanaongea Kiswahili sanifu.
 
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.

Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.

Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.

Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.

Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Vipi hali yao ya Elimu ? Kama wanapenda vigodoro na kuchezwa kuliko elimu hao ni ndugu zetu kabisa, ikiwezekana iwe ni mkoa remote wa Tanzania 😅😅
 
Labda ungeniambia kuwa biashara ya utumwa ilichukua watu kutoka ukanda huo wa pwani , rufiji na kuwapeleka katika visiwa hivyo ningekubalinia nawe.
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.

Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.

Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.

Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.

Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
 
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.

Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.

Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.

Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.

Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Kwahiyo wanaweza kuwa Wabondei,Wakwele au Wamwela.. ?
 
Labda ungeniambia kuwa biashara ya utumwa ilichukua watu kutoka ukanda huo wa pwani , rufiji na kuwapeleka katika visiwa hivyo ningekubalinia nawe.
hapana watu wa Pasific walitoka huku kwa kusafiri na mitumbwi mdogo mdogo mpaka huko ushahidi wa kihistoria unaonesha watu wa pwani ya Azania walikua mbele kimaendeleo miji kama Rapta,kilwa na Ofiri walimiliki merikebu zilizosafiri mbali na dunia huko jamii za Asia walikopeleka dhahabu,pembe za ndovu na bidhaa mbali mbali ila ile civilization ilianguka karne chache za hapo nyuma kumbuka watu wa Azania yaani Rapta walifanya biashara mpaka na mfalme Suleimani dhahabu na bidhaa za madawa,miti na wanyama waliokua kwenye mabustani ya kale huko babylon na Jerusalem yalitoka huku nchi ya Ofiri imetajwa mpaka na Bible!
 
Wabongo kwa kujipendekeza tupo vizuri. Tunaojipendekeza kwao hata hawatutaki kama nchi za ukanda wa south africa.
Wala sio kujipendekeza wao wenyew wanasema asili yao ni Taqaniika wakimaanisha Tanganyika
 
Niliangalia kipindi kimoja katika luninga, kilionyesha mila na desturi za watu wa Fiji, kwa kweli wale ni wenzetu kabisa.

Inasadikia miaka mingi iliyopita, Rufiji kuna watu walisafiri katika chombo kutumia Bihari. Katika safari ile, chombo kilipaigwa na dhoruba kali na kilipotea baharini. Kwa uwezo wa Mungu chombo kile kilitua katika kisiwa na waja wale walianza maisha pale.

Katika kipindi nilichoangalia wafiji wanapika wali wa nazi na samaki aina ya kamba kwa mchuzi wa nazi. Wanakula mihogo, magimbi na wali kama chakula kuku. Majani ya magimbi yanapikwa na kuchangwanywa na nyama. Hii ni desturi ya kawaida kwa watu wa Pwani.

Wanatengeneza halua kutumia mihogo na pia wanapika ndizi mzuzu mbivu za nazi. Halua na ndizi mzuzu hurumika kama chakula cha ziasa baada ya mlo.

Sura zao pia ni kama za watu wa Ukanda wa Kusini. Hakika wale ni ndugu zetu kabisa.
Angalia tena nyingine hii hapa, kama hujawahi kuiangalia


View: https://www.youtube.com/watch?v=bLk7scBWWjo&pp=ygUhYW1hemluZyBxdWVzdCBzdG9yaWVzIGZpamkgaXNsYW5k
 
Mbona wafiji wako kama wahindi na si kama wabantu?
Wakati wa utawala wa kikoloni Fiji wahindi walienda kufanya kazi katika mashamba ya miwa. Baada ya uhuru waliloea huko huko.
 
Kama ni hivyo basi serikali, kupitia Wizara ya Utamaduni, wafanye mpango wawarudishe hawa ndugu zetu nyumbani maana ni muda mrefu wameishi huko uhamishoni. Na lugha yao umeisikiliza vizuri? Isije ikawa wanaongea Kiswahili sanifu.
Hawaongei Kiswahili ila kurudi huku si rahisi. Fiji kuna huduma nzuri za elimu, afya, maji, umeme hata barabara. Huduma za kijamii ni bora kuliko hapa kwetu.
 
Back
Top Bottom