Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 817
- 2,180
Watu wa iPhone hujivunia simu zao kwa kuiponda Samsung.
Ukweli ni kiwa Samsung ndio huwatengenezea Apple Screen zote za Iphone.
Na sasa kwa iPhone 16 Apple watatumia Camera kutoka samsung ili kuboresha ubora wa picha zao.
Tunakoelekea kununua iPhone itakuwa sawa na kununua Lamborghini Urus, maana ni Volkswagen Touareg yenye engine ya Audi na Suspension za Porsche halafu ikawekwa body mpta ikaandikwa URUS bei ikapanda zaidi ya mara 2.
Ukweli ni kiwa Samsung ndio huwatengenezea Apple Screen zote za Iphone.
Na sasa kwa iPhone 16 Apple watatumia Camera kutoka samsung ili kuboresha ubora wa picha zao.
Tunakoelekea kununua iPhone itakuwa sawa na kununua Lamborghini Urus, maana ni Volkswagen Touareg yenye engine ya Audi na Suspension za Porsche halafu ikawekwa body mpta ikaandikwa URUS bei ikapanda zaidi ya mara 2.