Watu wa iringa mbona wengi wafupi?

Watu wa iringa mbona wengi wafupi?

Kwani kuna tatizo gan mtu kuwa mfupi au hasara gani anayoipata mtu mfupi!na faida gani anayoipata mtu mrefu ambayo mtu mfupi anaikosa?acheni kumpangia Mungu kazi,huo ni uumbaji wa Mungu humuumba mtu atakavyo yeye
 
Hata mi nashangaaga sana, yaani wafupi karibia wote halafu wanafanana fanana tu. Sema nilikuja kugundua sababu kubwa ni kuzaliana wenyewe kwa wenyewe kama alivyosema mleta mada
Mademu wa Iringa ni wagumu sana kutoa mbunye kwa strangers,nishaenda pale mara mbili kikazi na mara zote naondoka na utamu wangu.

Mpaka nikajiuliza ndio kusema mji mzima wanafahamiana au wana namna ya kutambua!
 
Hahaha Ww unaolewa na kabila gani?

Yeah Kuna tofauti kubwa Kati ya watu wa Iringa na watu wa mbeya ingawa ni majirani.

Ila Nafikiri jirani zao waluguru Ndio wamezidi kwa ufupi
Hayo mambo ya zamani, waluguru wamechanganyika sana siku hizi na wengi ni warefu au size ya kati. Waluguru wengi wamechanganya mbegu karibu na kila kabila la Pwani.

Walimu wengi sana wasukuma na makabila mengine wakipangiwa mlimani kwetu, huwa hawanasuki. Dada zetu wanajua kutega na wanajimix sana. Pia hawa wazaramo, wakwere, wakutu, wakaguru, wazigua, mpaka waarabu wamemix sana na waluguru. Wapo mpaka Zanzibar.

Wahehe diet yao haina protein, wanga mwingi. Na pia ni very closed tribe, haana ngoma wala jando ... you can imagine the rest.
 
Cheki hasira za sisi ma andunje kwenye huu uzi.
 
Hayo mambo ya zamani, waluguru wamechanganyika sana siku hizi na wengi ni warefu au size ya kati. Waluguru wengi wamechanganya mbegu karibu na kila kabila la Pwani.

Walimu wengi sana wasukuma na makabila mengine wakipangiwa mlimani kwetu, huwa hawanasuki. Dada zetu wanajua kutega na wanajimix sana. Pia hawa wazaramo, wakwere, wakutu, wakaguru, wazigua, mpaka waarabu wamemix sana na waluguru. Wapo mpaka Zanzibar.

Wahehe diet yao haina protein, wanga mwingi. Na pia ni very closed tribe, haana ngoma wala jando ... you can imagine the rest.
kaka Mi nipo kimaisha na kikazi kwa muda mrefu huku kanda ya ziwa kwa watani zetu wasukuma, nimejifunza kuwa wa Tanzania karibia Wote tunafanana tu, si kwa urefu wala kwa rangi..sote tunafanana tu, huku kuna wafupi na warefu halikadhalika uluguruni ( ukutu, uzaramoni, ukwereni, uziguani) pia kuna warefu na wafupi pia, karibu BUHONGWA ndani ya jiji la mwanza tule sato ndugu
 
Back
Top Bottom