Watu wa JF

Watu wa JF

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hellow

Humu bhna kuna matajiri wengi sana nazidi kupata marafiki wapya sana matajiri hawana mdomo

Humu nimekutana na watu wazuri kwa upande wangu mimi nimefaidika sana na watu wa humu japo wengi wananitambua kama chawa mpenda ofa yote sawa hila maisha yanasonga

Imagen jana pale wavuvi wakat thread inaendelea nikaulizwa umekaa meza gani na utumia kinywaji gani ni kalipiwa na bill kwa ucheshi wangu tu wa hapa jf asante bwana tajiri heshima kwako mkuu leo nahamia kiwanja kingine

Ucheshi unalipa muwe mnaheshimu watu humu izi id zinaficha mengi sana heshima kwako tajiri TAJIRI AMEPOA ANA MANENO ANA VITENDO TU HESHIMA KWAKO TAJIRI YANGU
 
Kwa hiyo umeshindwa tu kulitaja jina la huyo tajiri wako na sisi tumjue ama ndio unatuzuga tu akili we mtoto?
 
Kwa hiyo umeshindwa tu kulitaja jina la huyo tajiri wako na sisi tumjue ama ndio unatuzuga tu akili we mtoto?

Ngo’mbe anaekupa maziwa usimuoneshe watu watamuwekea sumu [emoji23][emoji23]

Ngoja leo jioni nitamtaja TAJIRI KAMA TAJIRI
 
Back
Top Bottom