Watu wa kale walikua na utaalamu wao katika ujenzi. Haijulikani aina ya matofali waliuotumia, inasadikika walitumia mawe lakini utaalamu wa kuyachonga na kuyabeba mpaka leo haujafahamika.Mhhh, sio fix kweli hii, miaka 500 BC mpaka leo kaburi liwepo
Watu wa kale walikua na utaalamu wao katika ujenzi. Haijulikani aina ya matofali waliuotumia, inasadikika walitumia mawe lakini utaalamu wa kuyachonga na kuyabeba mpaka leo haujafahamika.
Ohhh, kuna Roman buildings ziliharibika wakati wa WWII, hii ndiyo vita iliyotumia mabomu zaidi kwani ndiyo ilikua technology mpya.Inasemekana na Pia utafiti unaonyesha kuwa walikuwa wanasaga Seashells na kuchanganya na udongo na mifupa pia
Ohhh, kuna Roman buildings ziliharibika wakati wa WWII, hii ndiyo vita iliyotumia mabomu zaidi kwani ndiyo ilikua technology mpya.
Majengo haya walishindwa kuyakatabati kwani utaalamu wa ujenzi wake ulikua mgumu sana.
Kuna dalili unataka ukapige diliMaajabu yao hayo
Hivi sisi hakuna Kabila walikuwa wanazikwa na Vito vya thamani nianze kufukua
Kuna dalili unataka ukapige dili
Kuna dalili unataka ukapige dili
Baada ya fight yote hiyo unarudi na dhahabu na una RIP, ndugu wanagawana.Why not Mkuu Mbona Egypt wanatumia mpaka nguvu za giza?
Wanafukua hadi maili kadhaa ili wapate Vito vya thamani
Kuna dili kwenye kisiwa cha majoka huko Brazil kinaitwa Snake [emoji216] island Yaani walificha dhahabu nyingi sana na kwa roho zao mbaya wakaweka na majoka yakazaana
Sasa plan yangu niende huko na mitambo ingawa hata ukilala unaangukiwa na nyoka ukitembea kila hatua kuna nyoka ila najipanga
Baada ya fight yote hiyo unarudi na dhahabu na una RIP, ndugu wanagawana.
Umenikumbusha Kuna siku HISTORY channel walirusha kipindi kwamba Kuna pirate Miaka ya 1880's alificha Mali kwenye kisiwa Fulani alizifukia Sasa mkienda kuchimba kesho yake mnakuta maji yamejaaWhy not Mkuu Mbona Egypt wanatumia mpaka nguvu za giza?
Wanafukua hadi maili kadhaa ili wapate Vito vya thamani
Kuna dili kwenye kisiwa cha majoka huko Brazil kinaitwa Snake [emoji216] island Yaani walificha dhahabu nyingi sana na kwa roho zao mbaya wakaweka na majoka yakazaana
Sasa plan yangu niende huko na mitambo ingawa hata ukilala unaangukiwa na nyoka ukitembea kila hatua kuna nyoka ila najipanga
mbona hyo ni midogo Sana.unajua firauni aliyesumbuana na Musa imepita miaka mingapi ?lakini mwili wake bado upoMhhh, sio fix kweli hii, miaka 500 BC mpaka leo kaburi liwepo
mbona hyo ni midogo Sana.unajua firauni aliyesumbuana na Musa imepita miaka mingapi ?lakini mwili wake bado upo
Umenikumbusha Kuna siku HISTORY channel walirusha kipindi kwamba Kuna pirate Miaka ya 1880's alificha Mali kwenye kisiwa Fulani alizifukia Sasa mkienda kuchimba kesho yake mnakuta maji yamejaa
Wanasema pirate alitumia nguvu za Giza,pia Kuna train iliyojaa dhahabu ilipotea huko ulaya wakati wa WW2