Watu wa kanda ya ziwa ni warefu sababu ya kula dagaa

Watu wa kanda ya ziwa ni warefu sababu ya kula dagaa

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Habarini. Dagaa ni chakula kimoja kinadharaurika sana na kuonekana cha kimasikini, lakini ni moja ya vyakula bora kabisa duniani.

Ni hivi, mifupa ya mtu hujengwa kwa sehemu kubwa kwa Calcium. Sasa, ukiondoa maziwa, chakula kinachofuatia kwa kuwa na calcium kwa wingi ni samaki wanaoliwa na mifupa yake kama dagaa. Anaekula dagaa anapata calcium kwa wingi kuliko anayekula sato au samaki wengine wa gharama waliojaa minofu. So watu wa kanda ya ziwa, hata wale ambao hawawezi kupata calcium kutoka kwenye maziwa, wanaipata kwa wingi kutoka kwenye dagaa kwa bei rahisi.

Watu wa Pwani kama wazaramo ni wafupi japo wanatumia samaki kwa kiwango kizuri tu, ni pengine hawali sanaa dagaa kamba ambao wangeweza kupiga na mifupa yake na kujipatia calcium kwa wingi.

Basi wandugu, dagaa ni chakula bora na muhimu sana. Hasa kwa watoto wanaokua.
 
Habarini. Dagaa ni chakula kimoja kinadharaurika sana na kuonekana cha kimasikini, lakini ni moja ya vyakula bora kabisa duniani.

Ni hivi, mifupa ya mtu hujengwa kwa sehemu kubwa kwa Calcium. Sasa, ukiondoa maziwa, chakula kinachofuatia kwa kuwa na calcium kwa wingi ni samaki wanaoliwa na mifupa yake kama dagaa. Anaekula dagaa anapata calcium kwa wingi kuliko anayekula sato au samaki wengine wa gharama waliojaa minofu. So watu wa kanda ya ziwa, hata wale ambao hawawezi kupata calcium kutoka kwenye maziwa, wanaipata kwa wingi kutoka kwenye dagaa kwa bei rahisi.

Watu wa Pwani kama wazaramo ni wafupi japo wanatumia samaki kwa kiwango kizuri tu, ni pengine hawali sanaa dagaa kamba ambao wangeweza kupiga na mifupa yake na kujipatia calcium kwa wingi.

Basi wandugu, dagaa ni chakula bora na muhimu sana. Hasa kwa watoto wanaokua.
nyasa kigoma dagaa wao walefu kulikoni wao wafupi
 
Habarini. Dagaa ni chakula kimoja kinadharaurika sana na kuonekana cha kimasikini, lakini ni moja ya vyakula bora kabisa duniani.

Ni hivi, mifupa ya mtu hujengwa kwa sehemu kubwa kwa Calcium. Sasa, ukiondoa maziwa, chakula kinachofuatia kwa kuwa na calcium kwa wingi ni samaki wanaoliwa na mifupa yake kama dagaa. Anaekula dagaa anapata calcium kwa wingi kuliko anayekula sato au samaki wengine wa gharama waliojaa minofu. So watu wa kanda ya ziwa, hata wale ambao hawawezi kupata calcium kutoka kwenye maziwa, wanaipata kwa wingi kutoka kwenye dagaa kwa bei rahisi.

Watu wa Pwani kama wazaramo ni wafupi japo wanatumia samaki kwa kiwango kizuri tu, ni pengine hawali sanaa dagaa kamba ambao wangeweza kupiga na mifupa yake na kujipatia calcium kwa wingi.

Basi wandugu, dagaa ni chakula bora na muhimu sana. Hasa kwa watoto wanaokua.
Shida kichwani ni madebe
 
nyasa kigoma dagaa wao walefu kulikoni wao wafupi
Dagaa nyasa adimu sana kuwapata. Hata watu wa mwambao na ziwa hawawali. Wakigoma nao adimu na bei juu sana. Japo watu wa kigoma wanajitahidi kula dagaa ndiyo maana si wafupi kihivyo. Si kama Waluguru au labda Wangoni
 
Nimecheka sana
Niko na kajamaa ka kagera ni kafupi kama mtoto wangu wa miaka minne [emoji16][emoji3]
 
Back
Top Bottom