Rafiki wa kweli ni mkeo tu.Nimejaribu ku act tatizo flani ili nione itakuwaje, aisee ni hatari tupu sio tu nme act but ni kweli limenitokea ila sio kwa hatua nilio ia act, mpaka mpenzi wangu hapokei simu.
Ila wadada kama kama wanne ndo wali kua tiari kuja kuniona, nmeamini mtu ambae ni wa karibu, na unadhani atakusaidia hio sahau, pia kua na wana ni vizuri kuliko hizi jinisia za ke, hazifai.
Anatakiwa ajue kuwa Ndugu ili awe rafiki yako lazima utengeneze urafiki,sio kwamba keshakuwa ndugu akadhani automatiki atakuwa rafiki,wrongKuna rafiki zaidi ya ndugu kumbuka hilo!
Mwanamke si ndugu yako. Ishini nao kwa umakiniNimejaribu ku act tatizo flani ili nione itakuwaje, aisee ni hatari tupu sio tu nme act but ni kweli limenitokea ila sio kwa hatua nilio ia act, mpaka mpenzi wangu hapokei simu.
Ila wadada kama kama wanne ndo wali kua tiari kuja kuniona, nmeamini mtu ambae ni wa karibu, na unadhani atakusaidia hio sahau, pia kua na wana ni vizuri kuliko hizi jinisia za ke, hazifai.
tushirikishe mzee,ulijaribu kuact tukio la namna gan?,na ss tupate maujanjaNimejaribu ku act tatizo flani ili nione itakuwaje, aisee ni hatari tupu sio tu nme act but ni kweli limenitokea ila sio kwa hatua nilio ia act, mpaka mpenzi wangu hapokei simu.
Ila wadada kama kama wanne ndo wali kua tiari kuja kuniona, nmeamini mtu ambae ni wa karibu, na unadhani atakusaidia hio sahau, pia kua na wana ni vizuri kuliko hizi jinisia za ke, hazifai.