Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,391
- 1,347
Nimejaribu ku act tatizo flani ili nione itakuwaje, aisee ni hatari tupu sio tu nme act but ni kweli limenitokea ila sio kwa hatua nilio ia act, mpaka mpenzi wangu hapokei simu.
Ila wadada kama kama wanne ndo wali kua tiari kuja kuniona, nmeamini mtu ambae ni wa karibu, na unadhani atakusaidia hio sahau, pia kua na wana ni vizuri kuliko hizi jinisia za ke, hazifai.
Ila wadada kama kama wanne ndo wali kua tiari kuja kuniona, nmeamini mtu ambae ni wa karibu, na unadhani atakusaidia hio sahau, pia kua na wana ni vizuri kuliko hizi jinisia za ke, hazifai.