BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Kuna watu wanapiga kelele ya katiba mpya kila kukicha, lakini hawachukui hatua zozote. Wanajitokeza kwa kelele tu, na serikali inasikiliza bila kuchukua hatua yoyote.
Ningependa kuwaambia wale wanaopiga kelele za katiba mpya kila siku kuwa wanapaswa kuchukua hatua badala ya kuendelea kupiga kelele bila kufanya chochote.
Itakuwa bora zaidi kama watatumia sauti yao kuchukua hatua za kweli. Kuendelea kupiga kelele mitandaoni kila siku haitasaidia chochote.
Ningependa kuwaambia wale wanaopiga kelele za katiba mpya kila siku kuwa wanapaswa kuchukua hatua badala ya kuendelea kupiga kelele bila kufanya chochote.
Itakuwa bora zaidi kama watatumia sauti yao kuchukua hatua za kweli. Kuendelea kupiga kelele mitandaoni kila siku haitasaidia chochote.