Watu wa Kilimanjaro (Mo-town) tufahamiane hapa

Watu wa Kilimanjaro (Mo-town) tufahamiane hapa

hivi kila kabila likianzisha uzi wake humu itakuwaje acha ukabila meku laa kucha
 
Kwani Kilimanjaro wanakaa watu wa kabira moja tu, bora angetaja jina la kabila hapo ningesema kweli huu ni ukabila, lakini kutaja mkoa sioni tatizo lolote, mbona kuna thread ilikuwa inazungumzia watu wa Moro.
Nsaidie kumwambia huyo dogo wapi nimetaja kabila nimesema watu wa Kilimanjaro tuu
 
mkabila mkubwa wewe nyie ndio maana Nyerere aliwalaan kazi ubinafsi tu
Acha ujinga ww ng'ombe uliye katwa mkia wap nimetaja kabila nimesema watu wa Kilimanjaro tuu
 
Back
Top Bottom