Watu wa Kilimanjaro (Mo-town) tufahamiane hapa

Watu wa Kilimanjaro (Mo-town) tufahamiane hapa

Msipende kuonesha kuwa mpo inferior, hata Kama lingekuwa Limeanzishwa Uzi wa kikabila, kwani Ni kosa la jinai, hata Kama kila kabila lingeanzisha Uzi wake hapa Jf kwani Jf Kungejaa?, kwani huku mtaani Kuna vikindi vingapi vya makabila?, mbona hamvitolei mapovu, Kuna vikundi vingi Sana, sasa likianzishwa kundi la Klm mnaweweseka, kwani mliambiwa humu watajadili makabila mengine, kwenye magroup ya whatsapp Kuna makundi mengi ya kikabila just for their stuffs, sasa iweje huku mtu Na akili zake anaanza Ku discourage wengine badala ya kuwapongeza Na wewe kwenda kuanzisha grup lenu.

Mna discourage makabila as if ninyi ndiye mliyeyaumba, Mungu aliyeyaumba yeye ndiye mwenye kujua, hata iweje hatuwezi kufanana.

Always think positive kuliko kuwa Na wivu wa kipumbavu.

Acheni huu Uzi Kama haukuhusu.
 
Msipende kuonesha kuwa mpo inferior, hata Kama lingekuwa Limeanzishwa Uzi wa kikabila, kwani Ni kosa la jinai, hata Kama kila kabila lingeanzisha Uzi wake hapa Jf kwani Jf Kungejaa?, kwani huku mtaani Kuna vikindi vingapi vya makabila?, mbona hamvitolei mapovu, Kuna vikundi vingi Sana, sasa likianzishwa kundi la Klm mnaweweseka, kwani mliambiwa humu watajadili makabila mengine, kwenye magroup ya whatsapp Kuna makundi mengi ya kikabila just for their stuffs, sasa iweje huku mtu Na akili zake anaanza Ku discourage wengine badala ya kuwapongeza Na wewe kwenda kuanzisha grup lenu.

Mna discourage makabila as if ninyi ndiye mliyeyaumba, Mungu aliyeyaumba yeye ndiye mwenye kujua, hata iweje hatuwezi kufanana.

Always think positive kuliko kuwa Na wivu wa kipumbavu.

Acheni huu Uzi Kama haukuhusu.
Ubarikiwe sana mpendwa
 
Wasee wa nozen Highland a. k. a half London mukuje huku tupige mishe mimi natokea kiraracha kwa mwenyekiti wa parole ww wap????
Ndiyo maana tunaogopa kuwapa nchi, yaani nyie ni full ukabila na kujitenga.
 
Me nipo uru kishumundu njiapanda ya kilema karibu na mbwaaruki jirani na kinukamori
 
Jamaa inaendekeza ukabila sana mpaka makazini nenda CRDB..TRA wamejazana kiupendeleo kupeana ajira kikabila tu
a
Kabila lolote lenye kujiona kuwa bora kwa sababu yoyote, hujivuna, na huonyesha ukabila wa dhahiri, ni upumbavu huo!!
 
Jamaa inaendekeza ukabila sana mpaka makazini nenda CRDB..TRA wamejazana kiupendeleo kupeana ajira kikabila tu
a
sio kweli wachaga ni watu wa kusaidiana ktk shida mvali mbali.

na hata mchaga anapo safiri kwenda sehemu fulani.akifika huuliza wenyeji kama kuna mchaga yeyote eneo hilo.

hua wanaami sehemu pasipo na mchaga basi apafai kuishi binadamu.

na ndio maana jamaa alipojiunga humu jf cha kwanza kataka kuja kama wachaga wapo.na wala sio kwa nia mbaya..

ni itifaki tuu imezingatiwa[emoji3]

kwahiyo nawewe unaweza kuuliza kama kabila lako lipo alafu mambo yakaendelea[emoji124]
 
mseme msiseme huu uzi unawahusu watu wa moshi tu.kama huusiki kojoa ulale pita hiviii
 
Ndiyo maana tunaogopa kuwapa nchi, yaani nyie ni full ukabila na kujitenga.
Mlivyompa mkwere aliwafanyia nini, akili ndogo hizo, kwani hiyo msipotupa tunahama, au tunabadilika, Na tutaendelea kufanya yetu mwanzo mwisho, wivu Tu, kwenye mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe.

Viva Northern Province, Viva Northern rock, Viva Chaggaland/Pareland viva Kilimanjaro.
 
Back
Top Bottom