Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
FRANCIS DA DON umeongea mambo yaneleta maana...
Lakini kwetu sidhani kama tunazungumzia ubunifu Bali ramani tu za nyumba bila ya kuwa na ubunifu Wa mchoraji
Mtu yupo Kimara anachora ramani ya nyumba itakayojengwa Buza bila ya kufika site, ndiyo alipwe 15% ya thamani ya jengo litakalojengwa?
Lakini kwetu sidhani kama tunazungumzia ubunifu Bali ramani tu za nyumba bila ya kuwa na ubunifu Wa mchoraji
Mtu yupo Kimara anachora ramani ya nyumba itakayojengwa Buza bila ya kufika site, ndiyo alipwe 15% ya thamani ya jengo litakalojengwa?