Watu wa kuchora ramani za nyumba punguzeni udalali

Watu wa kuchora ramani za nyumba punguzeni udalali

FRANCIS DA DON umeongea mambo yaneleta maana...

Lakini kwetu sidhani kama tunazungumzia ubunifu Bali ramani tu za nyumba bila ya kuwa na ubunifu Wa mchoraji

Mtu yupo Kimara anachora ramani ya nyumba itakayojengwa Buza bila ya kufika site, ndiyo alipwe 15% ya thamani ya jengo litakalojengwa?
 
Watu wa Ramani walikua kila nikiuliza gharama za kunichorea Ramani ya Nyumba Kawaida tu wanasema laki 7 mara laki 9 sijui unapewa Ramani na nini gani mbwembwe kibao aiseee nilibembeleza kinoma jamaa mmoja anipe Ramani kwa laki 3 akagoma eti hailipi saivi namuonaga anasema anauza Ramani kwa laki 1 nilishangaa kinoma ila niliheshimu kazi yake
Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisa

Ramani ni floorplan tuu! Hayo ma elevation sijui front view sijui side view sijui 3D ni mbwe mbwe tu ukisha pandisha boma kupaua fundi wa kupaua atakuja na raman yake , wa maji atakuja na ramani yake
 
Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisa

Ramani ni floorplan tuu! Hayo ma elevation sijui front view sijui side view sijui 3D ni mbwe mbwe tu ukisha pandisha boma kupaua fundi wa kupaua atakuja na raman yake , wa maji atakuja na ramani yake
There u r.
Hapa napandisha floor nne.
Ramani nimechora mwenyewe
Structural drawing mwenyewe
Mimi ndio injinia na
Mimi ndio client. Kazi iendelee 😀😀😀
20230125_154240.jpg
 
Siongelei ramani ndugu, naongelea ‘Design ya jengo’. Hapo kuna Architectural drawings, kuna structural drawings, at the very least!

Sasa unafahamu liability zinazobebwa na firm kwa hiyo kazi uliyompa? Likianguka likaua mtu kwa mfano, nani anaenda kuozea jela? Kweli Architect, Structural Engineer , wajipinde probably mwezi mzima kupata a working design, halafu uwape milioni 1, wamekuwa misukule wako?! Architect hadi anruhusiwa kuifanya hiyo kazi jua amesota miaka 7 katika mfumo, kuweni serious aisee..

Nyinyi endeleeni tu kununua ramani kama karanga barabarani, maana ndio mnachomudu, kila mtu ajikune anapofikia; ila hamtapata design ya jengo hata siku 1 kwa hiyo laki 3, hiyo ni michoro tu ya ‘Artists’; mnatania wazee
Upo sahihi kabisa, sema kwa hizi nyumba zetu za vyumba vitatu, sitting, dining, jiko, choo na store ndio tunauziwa kwa 300k.

Otherwise upo sahihi.
 
Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisa

Ramani ni floorplan tuu! Hayo ma elevation sijui front view sijui side view sijui 3D ni mbwe mbwe tu ukisha pandisha boma kupaua fundi wa kupaua atakuja na raman yake , wa maji atakuja na ramani yake
Kwa hiyo mtu aliyeenda shule amekuwa sawa na layman aka download mzigo playstore aka design ghorofa, electrical drawings, plumbing, estimations nk? Acheni utani na fani za watu, sema vyumba viwili, sebule nk ndio utafanya hivyo.
 
Likianguka likaua ukiwa umelipwa kiasi kikubwa inakuwaje
Kuna professional indemnity ambayo mwana taaluma anakuwa amekata kama bina ya liabilities mbali mbali ama dharura kama hizo zikitokea, unahitaji pesa kuilipia hii bima. Pia utahitaji pesa kuweka mawakili wazuri. Pia big risks zina require mtu alipwe accordingly.., hii ndio mantiki ya kustahili malipo sawia na ‘risk taken’
 
FRANCIS DA DON umeongea mambo yaneleta maana...

Lakini kwetu sidhani kama tunazungumzia ubunifu Bali ramani tu za nyumba bila ya kuwa na ubunifu Wa mchoraji

Mtu yupo Kimara anachora ramani ya nyumba itakayojengwa Buza bila ya kufika site, ndiyo alipwe 15% ya thamani ya jengo litakalojengwa?
Sasa hiyo sio ramani, ni mchoro wa ‘artist’ tu. Hai qualify criteria za kuitwa ramani
 
Likianguka likaua ukiwa umelipwa kiasi kikubwa inakuwaje
Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kazi
 
Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kazi
Nimeshangaa hoja yake kwamba hawezi kulipwa kidogo kwakuwa likitokea janga atawajibika
 
Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kazi
Ikiwa ameongea na seems ni fani yake kwanini isiwezekane?

Labda kama ulishawahi kujenga ghorofa lakini mimi naona kama ina-make sense.
 
Ukitaka kujenga tembelea nyumba kumi, dukua ramani Kisha boredha ujenge Yako ya 11. Ujasusi wa ujenzi
 
Watu wa Ramani walikua kila nikiuliza gharama za kunichorea Ramani ya Nyumba Kawaida tu wanasema laki 7 mara laki 9 sijui unapewa Ramani na nini gani mbwembwe kibao aiseee nilibembeleza kinoma jamaa mmoja anipe Ramani kwa laki 3 akagoma eti hailipi saivi namuonaga anasema anauza Ramani kwa laki 1 nilishangaa kinoma ila niliheshimu kazi yake
Me nlidaka kwa 30k faster nikatembea zangu
 
Back
Top Bottom