Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisaWatu wa Ramani walikua kila nikiuliza gharama za kunichorea Ramani ya Nyumba Kawaida tu wanasema laki 7 mara laki 9 sijui unapewa Ramani na nini gani mbwembwe kibao aiseee nilibembeleza kinoma jamaa mmoja anipe Ramani kwa laki 3 akagoma eti hailipi saivi namuonaga anasema anauza Ramani kwa laki 1 nilishangaa kinoma ila niliheshimu kazi yake
There u r.Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisa
Ramani ni floorplan tuu! Hayo ma elevation sijui front view sijui side view sijui 3D ni mbwe mbwe tu ukisha pandisha boma kupaua fundi wa kupaua atakuja na raman yake , wa maji atakuja na ramani yake
Upo sahihi kabisa, sema kwa hizi nyumba zetu za vyumba vitatu, sitting, dining, jiko, choo na store ndio tunauziwa kwa 300k.Siongelei ramani ndugu, naongelea βDesign ya jengoβ. Hapo kuna Architectural drawings, kuna structural drawings, at the very least!
Sasa unafahamu liability zinazobebwa na firm kwa hiyo kazi uliyompa? Likianguka likaua mtu kwa mfano, nani anaenda kuozea jela? Kweli Architect, Structural Engineer , wajipinde probably mwezi mzima kupata a working design, halafu uwape milioni 1, wamekuwa misukule wako?! Architect hadi anruhusiwa kuifanya hiyo kazi jua amesota miaka 7 katika mfumo, kuweni serious aisee..
Nyinyi endeleeni tu kununua ramani kama karanga barabarani, maana ndio mnachomudu, kila mtu ajikune anapofikia; ila hamtapata design ya jengo hata siku 1 kwa hiyo laki 3, hiyo ni michoro tu ya βArtistsβ; mnatania wazee
Kwa hiyo mtu aliyeenda shule amekuwa sawa na layman aka download mzigo playstore aka design ghorofa, electrical drawings, plumbing, estimations nk? Acheni utani na fani za watu, sema vyumba viwili, sebule nk ndio utafanya hivyo.Raman mbona hata wewe mwenyewe unachora tu sikuhizi kuna progran playstore nyingi tuu sasa hiv na vipimo kabisa
Ramani ni floorplan tuu! Hayo ma elevation sijui front view sijui side view sijui 3D ni mbwe mbwe tu ukisha pandisha boma kupaua fundi wa kupaua atakuja na raman yake , wa maji atakuja na ramani yake
Ctrl+v na Ctrl+c zinamaanisha nin???Halafu ukiangalia zilizo nyingi ni Ctrl+C & Ctrl+V
Kuna professional indemnity ambayo mwana taaluma anakuwa amekata kama bina ya liabilities mbali mbali ama dharura kama hizo zikitokea, unahitaji pesa kuilipia hii bima. Pia utahitaji pesa kuweka mawakili wazuri. Pia big risks zina require mtu alipwe accordingly.., hii ndio mantiki ya kustahili malipo sawia na βrisk takenβLikianguka likaua ukiwa umelipwa kiasi kikubwa inakuwaje
Sasa hiyo sio ramani, ni mchoro wa βartistβ tu. Hai qualify criteria za kuitwa ramaniFRANCIS DA DON umeongea mambo yaneleta maana...
Lakini kwetu sidhani kama tunazungumzia ubunifu Bali ramani tu za nyumba bila ya kuwa na ubunifu Wa mchoraji
Mtu yupo Kimara anachora ramani ya nyumba itakayojengwa Buza bila ya kufika site, ndiyo alipwe 15% ya thamani ya jengo litakalojengwa?
Mmmk, umekwishaThere u r.
Hapa napandisha floor nne.
Ramani nimechora mwenyewe
Structural drawing mwenyewe
Mimi ndio injinia na
Mimi ndio client. Kazi iendelee πππ
View attachment 2771000
HawatakuelewaSikiliza wewe, ramani haiuzwi. Ukiona inauzwa basi huo ni mchoro tu kama mchoro mwingine.
Design kama design ya jengo, haiwezi kuwa chini ya 15% ya gharama ya jengo. Elewa hilo.
Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kaziLikianguka likaua ukiwa umelipwa kiasi kikubwa inakuwaje
Nimeshangaa hoja yake kwamba hawezi kulipwa kidogo kwakuwa likitokea janga atawajibikaKwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kazi
Hahah ikija kufika floor ya tatu itakuletea kitu kama hiki.There u r.
Hapa napandisha floor nne.
Ramani nimechora mwenyewe
Structural drawing mwenyewe
Mimi ndio injinia na
Mimi ndio client. Kazi iendelee πππ
View attachment 2771000
Ikiwa ameongea na seems ni fani yake kwanini isiwezekane?Kwa kuwa yeye ni injinia basi analeta ujuaji mwingi..... iko hivi athari haipangwi na mwanadamu lakini ni matokeo ya kazi ya mwanadamu..... majengo mangapi yametumia wasanifu wakubwa na yamedondoka? Hayo ni matokeo lkn kabla huwezi panga kazi yako iwe na uhakika wa kutoharibika..... aendelee kusubiri 15% ya kila kazi
Kama shida ni ramani tafuta ATLAS kwenye Library!! Usituchoshe
Ctrl+c = CopyCtrl+v na Ctrl+c zinamaanisha nin???
Kwamba jengo la Milioni 100 ulipe 15mil?
Yes!! Hiyo ni ya architect, bado ya engineer.Kwamba jengo la Milioni 100 ulipe 15mil?
Me nlidaka kwa 30k faster nikatembea zanguWatu wa Ramani walikua kila nikiuliza gharama za kunichorea Ramani ya Nyumba Kawaida tu wanasema laki 7 mara laki 9 sijui unapewa Ramani na nini gani mbwembwe kibao aiseee nilibembeleza kinoma jamaa mmoja anipe Ramani kwa laki 3 akagoma eti hailipi saivi namuonaga anasema anauza Ramani kwa laki 1 nilishangaa kinoma ila niliheshimu kazi yake