Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
1. Wanaoamini dunia sio duara bali ni tambarare(Flat earthers)
2. Wapinga chanjo(anti-vaxxers)
3. Wanaomini benki au pesa zote duniani ni mali za Rothschild au sijui Wayahudi gani fulani huko duniani.
4. Wanaoamini Illuminati na Freemason ni makundi yenye nia ovu au conspiracy ya kutawala dunia.
5. Wanaoamini ushoga ni ajenda ya watu au kikundi fulani ambacho kinafanya jitihada kuueneza duniani.
6. Wanaosema hata dini inasema... hata misaafu inasema.
7. Wanaoweka msisitizo wa jambo kwa kuanza na maneno ya "kusema kweli..."
8.Wanoashika shika mtu Bega, mikono n.k wakati wanaongea.
9. Wanaorudia rudia maneno "sijui umenielewa" kila mara wakati wa mazungumzo.
10. Wale ambao kila story na wao imewahi kuwatokea pia au wanamjua mtu iliyowahi kumtokea.
11. Waanzishaji wa story za mpira kiholela wakati unahitaji utulivu.
12.Wanaomshukuru Rais na chama chake kila mahali wanapozungumza mbele ya hadhira yoyote ile, hata kama jambo halihusiani kabisa.
13.Wale ambao kila tukio linalotokea na kuvuma/kutrendi limepangwa na "system"/ utawala ili kupooza jambo fulani.
2. Wapinga chanjo(anti-vaxxers)
3. Wanaomini benki au pesa zote duniani ni mali za Rothschild au sijui Wayahudi gani fulani huko duniani.
4. Wanaoamini Illuminati na Freemason ni makundi yenye nia ovu au conspiracy ya kutawala dunia.
5. Wanaoamini ushoga ni ajenda ya watu au kikundi fulani ambacho kinafanya jitihada kuueneza duniani.
6. Wanaosema hata dini inasema... hata misaafu inasema.
7. Wanaoweka msisitizo wa jambo kwa kuanza na maneno ya "kusema kweli..."
8.Wanoashika shika mtu Bega, mikono n.k wakati wanaongea.
9. Wanaorudia rudia maneno "sijui umenielewa" kila mara wakati wa mazungumzo.
10. Wale ambao kila story na wao imewahi kuwatokea pia au wanamjua mtu iliyowahi kumtokea.
11. Waanzishaji wa story za mpira kiholela wakati unahitaji utulivu.
12.Wanaomshukuru Rais na chama chake kila mahali wanapozungumza mbele ya hadhira yoyote ile, hata kama jambo halihusiani kabisa.
13.Wale ambao kila tukio linalotokea na kuvuma/kutrendi limepangwa na "system"/ utawala ili kupooza jambo fulani.