Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Huku ni wa kuja tu, Somalia nyumbani na Tz ni nyumbani piaWrite your reply...SASA we shombe shombe huku kusini nani alifika mpaka ukapatikana wewe dingi au bi mdashi au ulipatikana somalia ukalowea huko kusini
Hahahaa umetisha mkuun'dololo
nandenga
mandenga
nankwakwa
nankwalakwasa
ipanjo
nipa
NkanalediChipuputa
MdengaNkanaledi
Mdenga
Mdenga
mmoja nilimsikia akisema "kipalata" yani kitamburisho.nikashangaa hii lugha gani,,!!! Hahahahaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa,, chikundi njian kuelekea Masasi town.. wanasemaje hapo..?Nchonyo.= ***ma
Kunyata= sura mbaya
Niko chikundi hapa wakuu nimekimbia corona mjini.
Hii ni baadhi ya misamiati/maneno ambayo huwezi kuisikia mikoa mingine zaidi ya Lindi na Mtwara, me naanza na hii:-
Kudekelela
Kunyenga
Kunyeng'elesa
Mwandu
Nchonyo
Nang'ongo
Ming'oko
Kwapwapwasa
Mkomela
Chikandanga
Chinduri
Pitiku
Manda
Msambura
Nawe wa nyumbani ongezea ya kwako.