Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Shindano la hovyo hadi linatis kinyaa..mtu anaimba poa tu sekunde 3 hazijaisha anakatishwa kwa kejeli na kashfa.
Unashangaa hawa watu wana utaalam gani wa kugundua vipaji vya muziki?
hao washindi wao mpaka leo wanakionyesha mafanikio gani kwenye muziki?
Sisemi kifungiwe maana hili ni soko huria, ila siwezi kumshauri mtu kushiriki shindano la kijinga vile
Unashangaa hawa watu wana utaalam gani wa kugundua vipaji vya muziki?
hao washindi wao mpaka leo wanakionyesha mafanikio gani kwenye muziki?
Sisemi kifungiwe maana hili ni soko huria, ila siwezi kumshauri mtu kushiriki shindano la kijinga vile