Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
- #61
Wengi si weupe namna ile. Wanajichubua sana.Wakorea na ule weupe wajichubue ili wagundue nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi si weupe namna ile. Wanajichubua sana.Wakorea na ule weupe wajichubue ili wagundue nn?
Nu nna ghwake kumaso ngati ighurutu lya pakibhusuntu ghwa mwisukulugho ukamandene kufyima saaa, sokapo apa!
Wakorea ndo washenzi kabisa wanatengeneza mpaka pua huwa wana mapua mabayaWakorea na ule weupe wajichubue ili wagundue nn?
Dar kuna bahari mkuu.Chief, umeniacha kidogo hapo, jua Dar lilivo kali kiasi kile kuliko mbeya then useme mionzi ya jua ukiwa mbeya ni mikali zaid? Baridi na ubichi wote wa mbeya na iringa na njombe afu useme dar kuna hali ya unyevu unyevu kuliko kusini?
dadavua mkuu
Basi ndio maana ni watamu sana unaweza mwaga ubongo Kwa lile joto la kule mgodiniKwa sababu black colour ina absorb light
Duh 🙄Wengi si weupe namna ile. Wanajichubua sana.
Kujichubua ni kichekesho, sehemu za mwilini zinashindana kwa rangi, mara Pepsi, coka cola, fanta orange,nk.
Mzee hapa unatupiga na GEOGRAPHY ya kolomijeKwa sababu ya bahari. Miji kama Dar au Tanga, na hata Mwanza inakuwa na unyevu hewani mwingi kuliko sehemu kama Mbeya na Iringa. Na jua la Mbeya na Iringa huwa kali kwa sababu kuna kama kilomita moja na nusu ya atmophere(angahewa) hawana kwa kuwa kwao juu.
Ukiwa juu mionzi inakuwa mikali zaidi. Ndiyo maana unaonaga mapilot wakivaa ile miwani myeusi. Siyo urembo, ni kukinga macho na mionzi.
Sababu hizi mbili zinafanya jua huko kuwa kali sana. Kuna joto na kuna jua la kuchoma.
Kwa nini?Mzee hapa unatupiga na GEOGRAPHY ya kolomije
[emoji1787]