Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 1,083
- 1,628
Bila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu