Mitandaoni faragha zetu sio binafsi kwa asilimia 100Bila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176
Ni vijana wasiojua wajibu waoMimi niliwaambia sitaki mkopo na nikawaambia wasinipigie tena, vikanijibu kwa dharau tutakupigia tuu
Mkopo wa laki 5 bila dhamana si wanapigwa sana za uso. Mimi sikumskiliza kabisa, nimeachana nae mapema sanaUmechelewa kupigiwa na wanakopesha popote ulipo bila hata ya wewe kuwafata kwa mikopo midogo 500k kushuka chini na wanataja hadi location yako sio kwa kuku trace bali kupitia watu waliokusajili
Umewahi kuwauliza waliokupa namba ya simu unayotumia kuna vigezo na masharti gani ya kuitimia? Hiyo biashara kubwa ndugu yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176